Biblia Todo Logo
線上聖經

- 廣告 -




Danieli 6:19 - BIBLIA Maandiko Matakatifu Kwa Watu Wote 2002

19 Kisha mufalme akarudi katika nyumba yake ya kifalme ambamo alikesha akifunga kula chakula wala hakupenda kufarijiwa na kitu chochote na hata usiku ule hakupata usingizi.

參見章節 複製




Danieli 6:19
6 交叉參考  

Ni kwa sababu hiyo, nilipoona kwamba siwezi kuendelea kungojea, nilimutuma Timoteo kusudi nipate kujua habari ya imani yenu. Niliogopa kwamba labda yule mushawishi Shetani amejaribu kuwaangusha ninyi na kwamba kazi yote tuliyofanya kwenu imepotea bure.


Ingawa vile, nilifazaika sana kwa sababu sikumukuta ndugu yangu Tito. Halafu nikaagana na watu wa muji ule na kwenda Makedonia.


Siku ya kwanza ya juma, asubui mapema, wakati jua lilipoanza kutokea, wakaenda kwenye kaburi.


Siku ya Sabato ilipokwisha kupita, kesho yake siku ya kwanza ya juma, kwa wakati wa mapambazuko, Maria wa Magdala na Maria mwingine wakaenda kuangalia kaburi.


Jiwe likaletwa na kuwekwa kwenye mulango wa lile pango. Mufalme akapiga muhuri wake mwenyewe na ule wa wakubwa wake, kusudi uamuzi uliotolewa juu ya Danieli usibadilishwe.


Ilipokuwa asubui mapema, mufalme Dario aliamuka, akaenda kwa haraka kwenye pango la simba.


跟著我們:

廣告


廣告