1 Samweli 4:9 - BIBLIA Maandiko Matakatifu Kwa Watu Wote 2002
9 Sasa, enyi Wafilistini, mujipe moyo. Mukuwe hodari kusudi musipate kuwa watumwa wa Waebrania kama wao walivyokuwa watumwa wetu. Mukuwe hodari kama wanaume na kupigana.”
Watu wa mataifa watawasaidia Waisraeli kurudi katika inchi waliyopewa na Yawe. Na hapo watawatumikia Waisraeli kama watumwa. Wale waliowateka sasa watatekwa na Waisraeli, na watawatawala wale waliowatesa.
Waebrania waliokuwa upande wa Wafilistini, na waliokwenda nao kule katika kambi, wakageuka na kujiunga na Waisraeli waliokuwa pamoja na Saulo na Yonatani.