1 Samweli 28:3 - BIBLIA Maandiko Matakatifu Kwa Watu Wote 2002
3 Wakati ule, Samweli alikuwa amekwisha kufa, na Waisraeli wote walikuwa wamekwisha kumwombolezea na kumuzika katika muji wake Rama. Saulo alikuwa amewafukuza kutoka katika inchi wenye kutabiri na wachawi.
Sasa, Samweli akakufa. Nao Waisraeli wote wakakusanyika kwa kumwomboleza. Wakamuzika kwenye nyumba yake kule Rama. Kisha Daudi akaenda zake kwenye jangwa za Parani.
Yule mwanamuke akamwambia: “Wewe unajua kwa hakika kwamba mufalme Saulo amewaangamiza kabisa waaguzi na wachawi wote katika inchi ya Israeli. Sasa kwa nini unaniwekea mutego wa kuninasa na kuniua?”