1 Samweli 26:3 - BIBLIA Maandiko Matakatifu Kwa Watu Wote 2002
3 Saulo akapiga kambi juu ya mulima Hakila, karibu na barabara, upande wa mashariki wa Yesimoni. Lakini Daudi alikuwa angali kule katika jangwa. Daudi alipojua kwamba Saulo alikuwa amekuja katika jangwa kwa kumutafuta,
Saulo alipokuwa angali kule Gibea, Wazifu wakamwendea na kumwambia: “Daudi anajificha katika inchi yetu kwenye makimbilio kule Horeshi, kwenye mulima Hakila, unaokuwa upande wa kusini wa jangwa.
Kisha Saulo aliwatwaa waaskari elfu tatu waliochaguliwa waliokuwa bora zaidi katika inchi yote ya Israeli, akaenda kumutafuta Daudi na watu wake pahali panapoitwa “Mawe ya Mbuzi wa Pori.”
Wamoja kati ya wanaume kutoka muji wa Zifu wakamwendea Saulo kule Gibea, wakamwambia kwamba Daudi alikuwa anajificha kwenye mulima Hakila, upande wa mashariki wa Yesimoni.