Biblia Todo Logo
Biblia ya mtandaoni

- Matangazo -




Zaburi 97:12 - Swahili Revised Union Version

12 Enyi wenye haki, mfurahieni BWANA, Na kulishukuru jina lake takatifu.

Tazama sura Nakili


Matoleo zaidi

Biblia Habari Njema

12 Furahini kwa sababu ya Mwenyezi-Mungu enyi waadilifu; mshukuruni kwa ajili ya jina lake takatifu.

Tazama sura Nakili

Biblia Habari Njema - BHND

12 Furahini kwa sababu ya Mwenyezi-Mungu enyi waadilifu; mshukuruni kwa ajili ya jina lake takatifu.

Tazama sura Nakili

Biblia Habari Njema: Toleo la Kujifunza

12 Furahini kwa sababu ya Mwenyezi-Mungu enyi waadilifu; mshukuruni kwa ajili ya jina lake takatifu.

Tazama sura Nakili

Neno: Bibilia Takatifu

12 Furahini katika Mwenyezi Mungu, enyi wenye haki, lisifuni jina lake takatifu.

Tazama sura Nakili

Neno: Maandiko Matakatifu

12 Furahini katika bwana, ninyi mlio wenye haki, lisifuni jina lake takatifu.

Tazama sura Nakili




Zaburi 97:12
9 Marejeleo ya Msalaba  

Mwimbieni BWANA zaburi, Enyi watauwa wake. Na kutoa shukrani. Kwa kukumbuka utakatifu wake.


Maana ghadhabu zake ni za muda mfupi tu; Radhi yake ni ya milele. Kilio huweza kuwapo usiku, Lakini furaha huja asubuhi.


Mfurahieni BWANA; Shangilieni, enyi wenye haki Pigeni vigelegele vya furaha; Ninyi nyote mlio wanyofu wa moyo.


Mungu amenena kwa utakatifu wake, Nami nikishangilia. Nitaigawanya Shekemu, Na kulipima bonde la Sukothi.


Furahini katika Bwana sikuzote; tena nasema, Furahini.


Maana ni hakika, hao kwa siku chache waliturudi kama walivyoona vema wenyewe; bali yeye kwa faida yetu, ili tuushiriki utakatifu wake.


Tufuate:

Matangazo


Matangazo