Biblia Todo Logo
Biblia ya mtandaoni

- Matangazo -




Zaburi 74:8 - Swahili Revised Union Version

8 Walisema mioyoni mwao, Na tuwaangamize kabisa; Mahali penye mikutano ya Mungu Wamepachoma moto katika nchi pia.

Tazama sura Nakili


Matoleo zaidi

Biblia Habari Njema

8 Walipania kutuangamiza sote pamoja; walichoma kila mahali tulipokutania kukuabudu nchini.

Tazama sura Nakili

Biblia Habari Njema - BHND

8 Walipania kutuangamiza sote pamoja; walichoma kila mahali tulipokutania kukuabudu nchini.

Tazama sura Nakili

Biblia Habari Njema: Toleo la Kujifunza

8 Walipania kutuangamiza sote pamoja; walichoma kila mahali tulipokutania kukuabudu nchini.

Tazama sura Nakili

Neno: Bibilia Takatifu

8 Walisema mioyoni mwao, “Tutawaponda kabisa!” Walichoma kila mahali Mungu alipoabudiwa katika nchi.

Tazama sura Nakili

Neno: Maandiko Matakatifu

8 Walisema mioyoni mwao, “Tutawaponda kabisa!” Walichoma kila mahali ambapo Mungu aliabudiwa katika nchi.

Tazama sura Nakili




Zaburi 74:8
9 Marejeleo ya Msalaba  

Elisha akasema, Kama BWANA aishivyo, na roho yako iishivyo, sitakuacha, Basi wakashuka mpaka Betheli. Basi wana wa manabii, waliokuwako Betheli, wakatoka kuonana na Elisha, wakamwambia, Je! Unajua ya kuwa BWANA atamwondoa bwana wako leo, asiwe mkubwa wako? Akasema, Naam, najua; nyamazeni.


Basi wana wa manabii, waliokuwako Yeriko, wakamkaribia Elisha, wakamwambia, Je! Unajua ya kuwa BWANA atamwondoa bwana wako leo, asiwe mkubwa wako? Akajibu, Naam, najua, nyamazeni.


Akasema, Kwa nini kumwendea leo? Sio mwandamo wa mwezi, wala sabato. Akasema, Si neno.


Wakafundisha katika Yuda, wenye kitabu cha Torati ya BWANA; wakazunguka katika miji yote ya Yuda, wakafundisha kati ya watu.


Ee BWANA, uwakumbuke wana wa Edomu, Siku ile Yerusalemu ilipotekwa. Kwa namna walivyosema, Bomoeni! Bomoeni hata misingini!


Wamesema, Njoni, tuwakatilie mbali wasiwe taifa, Na jina la Israeli halitakumbukwa tena.


Maana wanashauriana kwa moyo mmoja, Juu yako wanafanyana agano.


Naye alikuwa akizunguka katika Galilaya yote, akifundisha katika masinagogi yao, na kuihubiri Habari Njema ya ufalme, na kuponya kila ugonjwa na maradhi ya kila namna waliyokuwa nayo watu.


Tufuate:

Matangazo


Matangazo