Zaburi 74:5 - Swahili Revised Union Version5 Wanaonekana kama watu wainuao mashoka, Waikate miti ya msituni. Tazama suraMatoleo zaidiBiblia Habari Njema5 Wanafanana na mtema kuni, anayekata miti kwa shoka lake. Tazama suraBiblia Habari Njema - BHND5 Wanafanana na mtema kuni, anayekata miti kwa shoka lake. Tazama suraBiblia Habari Njema: Toleo la Kujifunza5 Wanafanana na mtema kuni, anayekata miti kwa shoka lake. Tazama suraNeno: Bibilia Takatifu5 Walifanya kama watu wanaotumia mashoka kukata kichaka cha miti. Tazama suraNeno: Maandiko Matakatifu5 Walifanya kama watu wanaotumia mashoka kukata kichaka cha miti. Tazama sura |
mwana wa mwanamke wa kabila la Dani, na babaye alikuwa mkazi wa Tiro, yeye ni bingwa wa kutumia dhahabu, fedha, shaba, chuma, mawe na mti; na wa nguo za urujuani, samawati, nyekundu na kitani safi; tena ni stadi kwa kutia nakshi na kuchora michoro yoyote, mbunifu na kuchora chochote kufuatana na kielekezo ambacho angepewa yeye na watu wako mastadi wa bwana wangu Daudi baba yako.