Biblia Todo Logo
Biblia ya mtandaoni

- Matangazo -




Zaburi 73:18 - Swahili Revised Union Version

18 Hakika Wewe huwaweka penye utelezi, Huwaangusha mpaka palipoharibika.

Tazama sura Nakili


Matoleo zaidi

Biblia Habari Njema

18 Kweli wewe wawaweka mahali penye utelezi; wawafanya waanguke na kuangamia.

Tazama sura Nakili

Biblia Habari Njema - BHND

18 Kweli wewe wawaweka mahali penye utelezi; wawafanya waanguke na kuangamia.

Tazama sura Nakili

Biblia Habari Njema: Toleo la Kujifunza

18 Kweli wewe wawaweka mahali penye utelezi; wawafanya waanguke na kuangamia.

Tazama sura Nakili

Neno: Bibilia Takatifu

18 Hakika unawaweka mahali pa utelezi, unawaangusha chini kwa uharibifu.

Tazama sura Nakili

Neno: Maandiko Matakatifu

18 Hakika unawaweka mahali pa utelezi, unawaangusha chini kwa uharibifu.

Tazama sura Nakili




Zaburi 73:18
11 Marejeleo ya Msalaba  

Njia yao na iwe giza na utelezi, Malaika wa BWANA akiwafuatia.


Bali wasio haki watapotea, Nao wamchukiao BWANA watatoweka, Kama uzuri wa mashamba, Kama moshi watatoweka.


Ajapojikwaa hataanguka chini, Maana BWANA humshika mkono na kumtegemeza.


Nawe, Ee Mungu, utawateremsha, Wafikie shimo la uharibifu; Watu wa damu na hila hawataishi nusu ya siku zao, Bali mimi nitakutumaini Wewe.


Hata wasio haki wakichipuka kama majani Na wote watendao maovu wakastawi. Mwishowe wataangamizwa milele;


Bali Wewe, BWANA, U Mtukufu hata milele.


Naye atawarudishia uovu wao, Atawaangamiza katika ubaya wao, Naam, BWANA, Mungu wetu, atawaangamiza.


Kwa ajili ya hayo njia yao itakuwa kwao kama mahali pa kuteleza gizani; watateremshwa na kuanguka hapo; kwa maana nitaleta uovu juu yao, naam, mwaka wa kujiliwa kwao, asema BWANA.


Kisasi ni changu mimi, na kulipa, Wakati itakapoteleza miguu yao; Maana siku ya msiba wao imekaribia, Na mambo yatakayowapata yatafanya haraka.


watakaoadhibiwa kwa maangamizi ya milele, kutengwa na uso wa Bwana na utukufu wa nguvu zake;


Tufuate:

Matangazo


Matangazo