Biblia Todo Logo
Biblia ya mtandaoni

- Matangazo -




Zaburi 68:3 - Swahili Revised Union Version

3 Bali wenye haki hufurahi, Na kuushangilia uso wa Mungu, Naam, hupiga kelele kwa furaha.

Tazama sura Nakili


Matoleo zaidi

Biblia Habari Njema

3 Lakini waadilifu hufurahi ajapo Mungu, hushangilia na kuimba kwa furaha.

Tazama sura Nakili

Biblia Habari Njema - BHND

3 Lakini waadilifu hufurahi ajapo Mungu, hushangilia na kuimba kwa furaha.

Tazama sura Nakili

Biblia Habari Njema: Toleo la Kujifunza

3 Lakini waadilifu hufurahi ajapo Mungu, hushangilia na kuimba kwa furaha.

Tazama sura Nakili

Neno: Bibilia Takatifu

3 Bali wenye haki na wafurahi, washangilie mbele za Mungu, wafurahi na kushangilia.

Tazama sura Nakili

Neno: Maandiko Matakatifu

3 Bali wenye haki na wafurahi, washangilie mbele za Mungu, wafurahi na kushangilia.

Tazama sura Nakili




Zaburi 68:3
16 Marejeleo ya Msalaba  

Ee BWANA, mfalme atazifurahia nguvu zako, Na wokovu wako ataufanyia shangwe nyingi sana.


Mfurahieni BWANA; Shangilieni, enyi wenye haki Pigeni vigelegele vya furaha; Ninyi nyote mlio wanyofu wa moyo.


Bali wasio haki watapotea, Nao wamchukiao BWANA watatoweka, Kama uzuri wa mashamba, Kama moshi watatoweka.


Hivyo nitakwenda madhabahuni kwa Mungu, kwa Mungu aliye furaha yangu na shangwe yangu; Nitakusifu kwa kinubi, Ee MUNGU, Mungu wangu.


Mwenye haki atafurahi akionapo kisasi; Ataiosha miguu yake katika damu ya wasio haki.


Mwenye haki atamfurahia BWANA na kumkimbilia, Na wote wenye moyo wa adili watasifu.


Niliwaambia waliojivuna, Msijivune; Na wasio haki, Msiiinue pembe.


Enyi wenye haki, mfurahieni BWANA, Na kulishukuru jina lake takatifu.


Nanyi mtafurahi mbele za BWANA, Mungu wenu, ninyi, na wana wenu, na binti zenu, na watumishi wenu wa kiume na wa kike, na Mlawi aliyemo malangoni mwenu; kwa kuwa hana sehemu wala urithi kwenu.


Naye mwampenda, ijapokuwa hamkumwona; ambaye ijapokuwa hamumwoni sasa, mnamwamini; na kufurahi sana, kwa furaha isiyoneneka, yenye utukufu,


Furahini juu yake, enyi mbingu, na enyi watakatifu, mitume na manabii; kwa maana Mungu ametoa hukumu kwa ajili yenu juu yake.


Na tufurahi, tukashangilie, tukampe utukufu wake; kwa kuwa arusi ya Mwana-kondoo imekuja, na mkewe amejiweka tayari.


Tufuate:

Matangazo


Matangazo