Zaburi 68:3 - Swahili Revised Union Version3 Bali wenye haki hufurahi, Na kuushangilia uso wa Mungu, Naam, hupiga kelele kwa furaha. Tazama suraMatoleo zaidiBiblia Habari Njema3 Lakini waadilifu hufurahi ajapo Mungu, hushangilia na kuimba kwa furaha. Tazama suraBiblia Habari Njema - BHND3 Lakini waadilifu hufurahi ajapo Mungu, hushangilia na kuimba kwa furaha. Tazama suraBiblia Habari Njema: Toleo la Kujifunza3 Lakini waadilifu hufurahi ajapo Mungu, hushangilia na kuimba kwa furaha. Tazama suraNeno: Bibilia Takatifu3 Bali wenye haki na wafurahi, washangilie mbele za Mungu, wafurahi na kushangilia. Tazama suraNeno: Maandiko Matakatifu3 Bali wenye haki na wafurahi, washangilie mbele za Mungu, wafurahi na kushangilia. Tazama sura |