Biblia Todo Logo
Biblia ya mtandaoni

- Matangazo -




Zaburi 22:5 - Swahili Revised Union Version

5 Walikulilia Wewe wakaokoka, Walikutumainia, nao hawakuaibika.

Tazama sura Nakili


Matoleo zaidi

Biblia Habari Njema

5 Walikulilia wewe, wakaokolewa; walikutegemea, nao hawakuaibika.

Tazama sura Nakili

Biblia Habari Njema - BHND

5 Walikulilia wewe, wakaokolewa; walikutegemea, nao hawakuaibika.

Tazama sura Nakili

Biblia Habari Njema: Toleo la Kujifunza

5 Walikulilia wewe, wakaokolewa; walikutegemea, nao hawakuaibika.

Tazama sura Nakili

Neno: Bibilia Takatifu

5 Walikulilia wewe na ukawaokoa, walikutegemea wewe nao hawakuaibika.

Tazama sura Nakili

Neno: Maandiko Matakatifu

5 Walikulilia wewe na ukawaokoa, walikutegemea wewe nao hawakuaibika.

Tazama sura Nakili




Zaburi 22:5
17 Marejeleo ya Msalaba  

Wakapata msaada juu yao, nao Wahajiri walitiwa mikononi mwao, na wote waliokuwa pamoja nao; kwa kuwa walimlingana Mungu pale vitani; naye akayatakabali maombi yao, kwa sababu walimtumaini yeye.


Lakini aliyaangalia mateso yao, Aliposikia kilio chao.


Nimekukimbilia Wewe, BWANA, Nisiaibike milele. Kwa haki yako uniponye,


Nimekukimbilia Wewe, BWANA, Nisiaibike milele.


Bali Israeli wataokolewa na BWANA kwa wokovu wa milele; ninyi hamtatahayarika, wala kufadhaika, milele na milele.


Na wafalme watakuwa baba zako walezi, na malkia zao mama zako walezi; watainama mbele yako kifudifudi, na kuramba mavumbi ya miguu yako; nawe utajua ya kuwa mimi ni BWANA, tena waningojeao hawatatahayarika.


Watu wote waliowaona wamewala; na adui zao walisema, Sisi hatuna hatia, kwa kuwa hao wametenda dhambi juu ya BWANA, aliye kao la haki, yaani, BWANA, tumaini la baba zao.


Nebukadneza akanena, akasema, Na ahimidiwe Mungu wa Shadraka, na Meshaki, na Abednego; aliyemtuma malaika wake, akawaokoa watumishi wake waliomtumaini, wakaligeuza neno la mfalme, na kujitoa miili yao ili wasimtumikie mungu mwingine, wala kumwabudu, ila Mungu wao wenyewe.


Kwa maana andiko lanena, Kila amwaminiye hatatahayarika.


kama ilivyoandikwa, Tazama, naweka katika Sayuni jiwe likwazalo, na mwamba uangushao; Na kila amwaminiye hatatahayarika.


Kwa kuwa imeandikwa katika Maandiko: Tazama, naweka katika Sayuni jiwe kuu la pembeni, teule, lenye heshima, Na kila amwaminiye hatatahayarika.


Wana wa Israeli wakamlilia BWANA; kwa kuwa Sisera alikuwa na magari ya chuma mia tisa ya vita; naye akawakandamiza sana wana wa Israeli muda wa miaka ishirini.


Israeli walitwezwa sana kwa sababu ya Wamidiani; nao wana wa Israeli wakamlilia BWANA.


Tufuate:

Matangazo


Matangazo