Zaburi 141:9 - Swahili Revised Union Version9 Unilinde kutoka kwa mtego walionitegea, Na kutoka kwa matanzi ya watendao maovu. Tazama suraMatoleo zaidiBiblia Habari Njema9 Unikinge na mitego waliyonitegea, uniepushe na matanzi ya hao watu waovu. Tazama suraBiblia Habari Njema - BHND9 Unikinge na mitego waliyonitegea, uniepushe na matanzi ya hao watu waovu. Tazama suraBiblia Habari Njema: Toleo la Kujifunza9 Unikinge na mitego waliyonitegea, uniepushe na matanzi ya hao watu waovu. Tazama suraNeno: Bibilia Takatifu9 Niepushe na mitego waliyonitegea, kutokana na mitego iliyotegwa na watenda maovu. Tazama suraNeno: Maandiko Matakatifu9 Niepushe na mitego waliyonitegea, kutokana na mitego iliyotegwa na watenda mabaya. Tazama sura |