Biblia Todo Logo
Biblia ya mtandaoni

- Matangazo -




Zaburi 141:9 - Swahili Revised Union Version

9 Unilinde kutoka kwa mtego walionitegea, Na kutoka kwa matanzi ya watendao maovu.

Tazama sura Nakili


Matoleo zaidi

Biblia Habari Njema

9 Unikinge na mitego waliyonitegea, uniepushe na matanzi ya hao watu waovu.

Tazama sura Nakili

Biblia Habari Njema - BHND

9 Unikinge na mitego waliyonitegea, uniepushe na matanzi ya hao watu waovu.

Tazama sura Nakili

Biblia Habari Njema: Toleo la Kujifunza

9 Unikinge na mitego waliyonitegea, uniepushe na matanzi ya hao watu waovu.

Tazama sura Nakili

Neno: Bibilia Takatifu

9 Niepushe na mitego waliyonitegea, kutokana na mitego iliyotegwa na watenda maovu.

Tazama sura Nakili

Neno: Maandiko Matakatifu

9 Niepushe na mitego waliyonitegea, kutokana na mitego iliyotegwa na watenda mabaya.

Tazama sura Nakili




Zaburi 141:9
10 Marejeleo ya Msalaba  

Watendao uovu wamenitegea mtego, Lakini sitoki katika njia ya mausia yako.


Wenye kiburi wamenifichia mtego na kamba; Wametandika wavu kando ya njia; Wameniwekea matanzi.


Roho yangu inapozimia unayajua mapito yangu; Katika njia niendayo wamenifichia mtego.


Utazame mkono wangu wa kulia ukaone, Kwa maana sina mtu anijuaye. Makimbilio yamenipotea, Hakuna wa kunitunza roho.


Nao wanaoutafuta uhai wangu hutega mitego; Nao wanaotaka kunidhuru hunena mabaya; Na kufikiri hila mchana kutwa.


Ee Mungu, moyo wangu ni thabiti, Moyo wangu ni thabiti. Nitaimba, nitaimba kwa sauti nzuri,


Waliounoa ulimi wao kama upanga, Wanaoyalenga maneno ya uchungu kama mishale,


Sheria ya mwenye akili ni chemchemi ya uzima, Ili kuepukana na tanzi za mauti.


Kilio na kisikiwe kitokacho katika nyumba zao, hapo utakapoleta kikosi juu yao kwa ghafla; kwa maana wamenichimbia shimo waninase, nao wameifichia miguu yangu mitego.


Wakamviziavizia, wakatuma wapelelezi waliojifanya kuwa watu wa haki, ili wamnase katika maneno yake, wapate kumtia katika enzi na mamlaka ya mtawala.


Tufuate:

Matangazo


Matangazo