Biblia Todo Logo
Biblia ya mtandaoni

- Matangazo -




Zaburi 124:4 - Swahili Revised Union Version

4 Papo hapo maji yangalitugharikisha, Mto ungalipita juu ya roho zetu;

Tazama sura Nakili


Matoleo zaidi

Biblia Habari Njema

4 Tungalikumbwa na gharika, tungalifunikwa na mto wa maji,

Tazama sura Nakili

Biblia Habari Njema - BHND

4 Tungalikumbwa na gharika, tungalifunikwa na mto wa maji,

Tazama sura Nakili

Biblia Habari Njema: Toleo la Kujifunza

4 Tungalikumbwa na gharika, tungalifunikwa na mto wa maji,

Tazama sura Nakili

Neno: Bibilia Takatifu

4 mafuriko yangegharikisha, maji mengi yangetufunika,

Tazama sura Nakili

Neno: Maandiko Matakatifu

4 mafuriko yangalitugharikisha, maji mengi yangalitufunika,

Tazama sura Nakili




Zaburi 124:4
17 Marejeleo ya Msalaba  

Au je! Huoni giza, Na maji mengi yanayokufunika?


Uinyoshe mikono yako toka juu, uniponye, Unitoe katika maji mengi, kutoka kwa mkono wa wageni,


Kamba za mauti zilinizunguka, Mafuriko ya uovu yakanitia hofu.


Kamba za kuzimu zilinizunguka, Mitego ya mauti ikanikabili.


Kwa hiyo, hebu kila akuaminiye Akuombe awapo katika dhiki. Hakika maji makuu yafurikapo, Hayatamfikia yeye.


Kilindi chapigia kelele kilindi kwa sauti ya maporomoko ya maji yako, Gharika zako zote na mawimbi yako yote yamepita juu yangu.


Mchana BWANA ataagiza fadhili zake, na usiku wimbo wake utakuwa nami, Naam, maombi kwa Mungu aliye uhai wangu.


Mkondo usinigharikishe, wala vilindi visinimeze, Wala Shimo lisifumbe kinywa chake juu yangu.


Ninazama katika matope mengi, Pasipowezekana kusimama. Nimefika penye maji ya vilindi, Mkondo wa maji unanigharikisha.


Tazama, Bwana ana mmoja aliye hodari, mwenye nguvu; kama dhoruba ya mvua ya mawe, tufani iharibuyo, kama dhoruba ya maji mengi yafurikayo, ndivyo atakavyotupa chini kwa mkono.


Basi, wataliogopa jina la BWANA toka magharibi, na utukufu wake toka maawio ya jua; maana yeye atakuja kama mkondo wa mto ufurikao, uendeshwao kwa pumzi ya BWANA.


Na baada ya yale majuma sitini na mawili, masihi atakatiliwa mbali, naye atakuwa hana kitu; na watu wa mkuu atakayekuja watauangamiza mji, na patakatifu; na mwisho wake utakuwa pamoja na gharika, na hata mwisho ule vita vitakuwapo; ukiwa umekwisha kukusudiwa.


Akaja mmoja wa wale malaika saba, wenye yale mabakuli saba, akanena nami, akisema, Njoo huku, nitakuonesha hukumu ya yule kahaba mkuu aketiye juu ya maji mengi;


Kisha akaniambia, Yale maji uliyoyaona, hapo aketipo yule kahaba, ni jamaa na makutano na mataifa na lugha.


Tufuate:

Matangazo


Matangazo