Biblia Todo Logo
Biblia ya mtandaoni

- Matangazo -




Zaburi 119:8 - Swahili Revised Union Version

8 Nitazitii amri zako, Usiniache kabisa.

Tazama sura Nakili


Matoleo zaidi

Biblia Habari Njema

8 Nitayafuata masharti yako; usiniache hata kidogo.

Tazama sura Nakili

Biblia Habari Njema - BHND

8 Nitayafuata masharti yako; usiniache hata kidogo.

Tazama sura Nakili

Biblia Habari Njema: Toleo la Kujifunza

8 Nitayafuata masharti yako; usiniache hata kidogo.

Tazama sura Nakili

Neno: Bibilia Takatifu

8 Nitayatii maagizo yako; usiniache kabisa.

Tazama sura Nakili

Neno: Maandiko Matakatifu

8 Nitayatii maagizo yako; usiniache kabisa.

Tazama sura Nakili




Zaburi 119:8
11 Marejeleo ya Msalaba  

Nimeapa nami nikathibitisha, Kuzishika hukumu zako za haki.


Nimeita kwa moyo wangu wote; Ee BWANA, uitike; Nitazishika amri zako.


Nitajifurahisha sana kwa amri zako, Sitalisahau neno lako.


Nimetangatanga kama kondoo aliyepotea; Umtafute mtumishi wako; Kwa maana sikuyasahau maagizo yako.


Usinitenge na uso wako, Wala roho yako mtakatifu usiniondolee.


Na hata nikiwa ni mzee mwenye mvi, Ee Mungu, usiniache. Hata niwaeleze watu wa kizazi hiki nguvu zako, Na kila atakayekuja uweza wako.


Usinitupe wakati wa uzee, Nguvu zangu zipungukapo usiniache.


Nayaweza mambo yote katika yeye anitiaye nguvu.


Nanyi kama mkiona ni vibaya kumtumikia BWANA, chagueni hivi leo mtakayemtumikia; kwamba ni miungu ile ambayo baba zenu waliitumikia ng'ambo ya Mto, au kwamba ni miungu ya wale Waamori ambao mnakaa katika nchi yao; lakini mimi na nyumba yangu tutamtumikia BWANA.


Tufuate:

Matangazo


Matangazo