Zaburi 109:21 - Swahili Revised Union Version21 Na Wewe, MUNGU, Bwana, unitendee kwa ajili ya jina lako, Kwa kuwa fadhili zako ni njema uniokoe. Tazama suraMatoleo zaidiBiblia Habari Njema21 Lakini ee Mwenyezi-Mungu, Bwana wangu, unitendee kadiri ya hisani yako; uniokoe, kwa sababu ya wema wa fadhili zako! Tazama suraBiblia Habari Njema - BHND21 Lakini ee Mwenyezi-Mungu, Bwana wangu, unitendee kadiri ya hisani yako; uniokoe, kwa sababu ya wema wa fadhili zako! Tazama suraBiblia Habari Njema: Toleo la Kujifunza21 Lakini ee Mwenyezi-Mungu, Bwana wangu, unitendee kadiri ya hisani yako; uniokoe, kwa sababu ya wema wa fadhili zako! Tazama suraNeno: Bibilia Takatifu21 Lakini wewe, Ee Bwana Mungu Mwenyezi, unitendee wema kwa ajili ya jina lako, uniokoe kwa wema wa pendo lako. Tazama suraNeno: Maandiko Matakatifu21 Lakini wewe, Ee bwana Mwenyezi, unitendee wema kwa ajili ya jina lako, uniokoe kwa wema wa pendo lako. Tazama sura |