Biblia Todo Logo
Biblia ya mtandaoni

- Matangazo -




Zaburi 10:15 - Swahili Revised Union Version

15 Uuvunje mkono wa mdhalimu, Na mwovu, uipatilize dhuluma yake, hadi usiione.

Tazama sura Nakili


Matoleo zaidi

Biblia Habari Njema

15 Uzivunje nguvu za mtu mwovu; ukomeshe uovu wake wote, usiwepo tena.

Tazama sura Nakili

Biblia Habari Njema - BHND

15 Uzivunje nguvu za mtu mwovu; ukomeshe uovu wake wote, usiwepo tena.

Tazama sura Nakili

Biblia Habari Njema: Toleo la Kujifunza

15 Uzivunje nguvu za mtu mwovu; ukomeshe uovu wake wote, usiwepo tena.

Tazama sura Nakili

Neno: Bibilia Takatifu

15 Vunja mkono wa mtu mbaya na mwovu; mwite mtu mbaya atoe hesabu ya uovu wake ambao usingejulikana vinginevyo.

Tazama sura Nakili

Neno: Maandiko Matakatifu

15 Vunja mkono wa mtu mwovu na mbaya, mwite atoe hesabu ya maovu yake ambayo yasingejulikana.

Tazama sura Nakili




Zaburi 10:15
10 Marejeleo ya Msalaba  

Na waovu nuru yao huzuiliwa isiwafikie, Na mkono ulioinuka huvunjika.


BWANA, uinuke, Mungu wangu, uniokoe, Maana umewapiga taya adui zangu wote; Umewavunja meno wasio haki.


Maana mikono ya wasio haki itavunjika, Bali BWANA huwategemeza wenye haki.


Ubaya wao wasio haki na ukome, Lakini umthibitishe mwenye haki. Kwa maana mjaribu mioyo na fikira Ndiye Mungu aliye mwenye haki.


Tena katika pindo za nguo zako imeonekana damu ya roho zao maskini wasio na hatia; sikuiona penye mahali palipobomoka, lakini niliiona juu ya hawa wote.


Hivyo nitaukomesha uasherati katika nchi hii, ili wanawake wote wafundishwe, wasifanye uasherati kama mlivyofanya.


Kisha itakuwa wakati ule, nitauchunguza Yerusalemu kwa taa; nami nitawaadhibu watu walioganda juu ya masira yao; wasemao katika mioyo yao, BWANA hatatenda mema, wala hatatenda mabaya.


Ole wake mchungaji asiyefaa, aliachaye kundi! Upanga utakuwa juu ya mkono wake, na juu ya jicho lake la kulia; mkono wake utakuwa umekauka kabisa, na jicho lake la kulia litakuwa limepofuka.


Tufuate:

Matangazo


Matangazo