Yobu 38:8 - Swahili Revised Union Version8 Au ni nani aliyeifunga bahari kwa milango, Hapo ilipotoka kwa nguvu kama kwamba imetoka tumboni mwa nchi. Tazama suraMatoleo zaidiBiblia Habari Njema8 Ni nani aliyeyafunga mafuriko ya bahari wakati yalipozuka na kuvuma kutoka vilindini? Tazama suraBiblia Habari Njema - BHND8 Ni nani aliyeyafunga mafuriko ya bahari wakati yalipozuka na kuvuma kutoka vilindini? Tazama suraBiblia Habari Njema: Toleo la Kujifunza8 Ni nani aliyeyafunga mafuriko ya bahari wakati yalipozuka na kuvuma kutoka vilindini? Tazama suraNeno: Bibilia Takatifu8 “Ni nani aliyeifungia bahari milango ilipopasuka kutoka tumbo, Tazama suraNeno: Maandiko Matakatifu8 “Ni nani aliyeifungia bahari milango ilipopasuka kutoka tumbo, Tazama sura |