Biblia Todo Logo
Biblia ya mtandaoni

- Matangazo -




Yobu 38:18 - Swahili Revised Union Version

18 Umeyafahamu mapana ya dunia? Haya! Sema, ikiwa unayajua hayo yote.

Tazama sura Nakili


Matoleo zaidi

Biblia Habari Njema

18 Je, wajua ukubwa wa dunia? Niambie kama unajua haya yote.

Tazama sura Nakili

Biblia Habari Njema - BHND

18 Je, wajua ukubwa wa dunia? Niambie kama unajua haya yote.

Tazama sura Nakili

Biblia Habari Njema: Toleo la Kujifunza

18 Je, wajua ukubwa wa dunia? Niambie kama unajua haya yote.

Tazama sura Nakili

Neno: Bibilia Takatifu

18 Je, wewe unafahamu ukubwa wa dunia? Niambie kama unajua haya yote.

Tazama sura Nakili

Neno: Maandiko Matakatifu

18 Je, wewe unafahamu ukubwa wa dunia? Niambie kama unajua haya yote.

Tazama sura Nakili




Yobu 38:18
7 Marejeleo ya Msalaba  

Maana anatazama hata miisho ya nchi, Na kuona chini ya mbingu nzima.


Iko wapi njia ya kuyafikia makao ya nuru? Na giza pia, mahali pake ni wapi?


Wewe uliiweka mipaka yote ya dunia, Majira ya joto na ya baridi wewe uliyafanya.


Je! Wewe hukujua? Hukusikia? Yeye Mungu wa milele, BWANA, Muumba miisho ya dunia, hazimii, wala hachoki; akili zake hazichunguziki.


BWANA asema hivi, Kama mbingu zikiweza kupimwa, na misingi ya dunia ikiweza kugunduliwa huko chini, ndipo wazao wa Israeli pia nitawatupilia mbali, kwa ajili ya hayo yote waliyoyatenda, asema BWANA.


Wakapanda juu ya upana wa nchi, wakaizingira kambi ya watakatifu, na mji huo uliopendwa. Moto ukashuka kutoka mbinguni, ukawala.


Tufuate:

Matangazo


Matangazo