Yobu 30:5 - Swahili Revised Union Version5 Hufukuzwa watoke kati ya watu; Huwapigia kelele kama kumpigia mwizi. Tazama suraMatoleo zaidiBiblia Habari Njema5 Walifukuzwa mbali na watu, watu waliwapigia kelele kama wezi. Tazama suraBiblia Habari Njema - BHND5 Walifukuzwa mbali na watu, watu waliwapigia kelele kama wezi. Tazama suraBiblia Habari Njema: Toleo la Kujifunza5 Walifukuzwa mbali na watu, watu waliwapigia kelele kama wezi. Tazama suraNeno: Bibilia Takatifu5 Walifukuzwa mbali na watu wao, wakipigiwa kelele kama wezi. Tazama suraNeno: Maandiko Matakatifu5 Walifukuzwa mbali na watu wao, wakipigiwa kelele kama wevi. Tazama sura |
ya kuwa utafukuzwa mbali na wanadamu, na makao yako yatakuwa pamoja na wanyama wa mwituni, nawe utalazimishwa kula majani kama ng'ombe, nawe utanyeshewa na umande wa mbinguni, na nyakati saba zitapita juu yako; hata utakapojua ya kuwa Aliye Juu ndiye anayemiliki katika ufalme wa wanadamu, naye humpa yeye amtakaye, awaye yote.