Biblia Todo Logo
Biblia ya mtandaoni

- Matangazo -




Yobu 3:20 - Swahili Revised Union Version

20 Mbona yeye aliye mashakani kupewa mwanga, Na hao wenye uchungu rohoni kupewa uhai;

Tazama sura Nakili


Matoleo zaidi

Biblia Habari Njema

20 Ya nini kumjalia nuru yule aliye taabuni; na uhai yule aliye na huzuni moyoni?

Tazama sura Nakili

Biblia Habari Njema - BHND

20 Ya nini kumjalia nuru yule aliye taabuni; na uhai yule aliye na huzuni moyoni?

Tazama sura Nakili

Biblia Habari Njema: Toleo la Kujifunza

20 Ya nini kumjalia nuru yule aliye taabuni; na uhai yule aliye na huzuni moyoni?

Tazama sura Nakili

Neno: Bibilia Takatifu

20 “Mbona nuru inawaangazia wale walio taabuni, na hao wenye uchungu kupewa uhai,

Tazama sura Nakili

Neno: Maandiko Matakatifu

20 “Mbona nuru inawaangazia wale walio taabuni, na hao wenye uchungu kupewa uhai,

Tazama sura Nakili




Yobu 3:20
10 Marejeleo ya Msalaba  

Naye alipofika kwa yule mtu wa Mungu kilimani, alimshika miguu. Gehazi akakaribia amwondoe; lakini mtu wa Mungu akamwambia, Mwache; maana roho yake ndani yake ina uchungu; na BWANA amenificha, wala hakuniambia.


Au, mbona kuzikwa kama mimba iliyoharibika, nisingekuwako; Kama wachanga wasiouona mwanga kabisa.


Wakuu na wadogo wako huko; Mtumishi yuko huru kwa bwana wake.


Yeye ameikomboa nafsi yangu isiende shimoni, Na uhai wangu utautazama mwanga.


Ili kurudisha roho yake itoke shimoni, Ili atiwe mwanga kwa mwanga wa walio hai.


Kwamba Mungu angekuwa radhi kuniponda; Kwamba angeulegeza mkono wake na kunikatilia mbali!


Mpe kileo yeye aliye karibu na kupotea; Kampe divai yeye aliye na uchungu nafsini.


Nilitoka tumboni kwa sababu gani, kuona taabu na huzuni, hata siku zangu ziharibike katika aibu?


Naye huyo mwanamke alikuwa na uchungu rohoni mwake, akamwomba BWANA akalia sana.


Tufuate:

Matangazo


Matangazo