Biblia Todo Logo
Biblia ya mtandaoni
- Matangazo -




Yobu 27:1 - Swahili Revised Union Version

1 Kisha Ayubu akaendelea na hoja yake, na kusema,

Tazama sura Nakili


Matoleo zaidi

Biblia Habari Njema

1 Yobu akaendelea kutoa hoja yake, akasema:

Tazama sura Nakili

Biblia Habari Njema - BHND

1 Yobu akaendelea kutoa hoja yake, akasema:

Tazama sura Nakili

Biblia Habari Njema: Toleo la Kujifunza

1 Yobu akaendelea kutoa hoja yake, akasema:

Tazama sura Nakili

Neno: Bibilia Takatifu

1 Ndipo Ayubu akaendelea na hoja yake, akasema:

Tazama sura Nakili

Neno: Maandiko Matakatifu

1 Ndipo Ayubu akaendelea na hoja yake, akasema:

Tazama sura Nakili




Yobu 27:1
8 Marejeleo ya Msalaba  

Maneno yenu ya hekima ni mithali ya majivu, Ngome zenu ni ngome za udongo.


Kisha Ayubu akaendelea na hoja yake, na kusema,


Nitatega sikio langu nisikie mithali, Na kufumbua fumbo langu kwa kinubi.


Nitafumbua kinywa changu kwa mithali, Niyatamke mafumbo ya kale.


Miguu yake achechemeaye huwa dhaifu; Kadhalika mithali katika kinywa cha mpumbavu.


Akatunga mithali yake, akasema, Balaki amenileta kutoka Aramu, Mfalme wa Moabu kutoka milima ya mashariki, Njoo! Unilaanie Yakobo, Njoo! Unishutumie Israeli.


Akatunga mithali yake akasema, Balaamu mwana wa Beori asema, Yule mtu aliyefumbwa macho asema,


Akatunga mithali yake, akasema, Balaamu mwana wa Beori asema, Yule mtu aliyefumbuliwa macho asema;


Tufuate:

Matangazo


Matangazo