Biblia Todo Logo
Biblia ya mtandaoni

- Matangazo -




Yobu 23:16 - Swahili Revised Union Version

16 Kwa maana Mungu ameufanya moyo wangu kuzimia, Naye Mwenyezi amenitaabisha;

Tazama sura Nakili


Matoleo zaidi

Biblia Habari Njema

16 Mungu ameufanya moyo wangu ufifie, Mungu Mwenye Nguvu amenitia hofu.

Tazama sura Nakili

Biblia Habari Njema - BHND

16 Mungu ameufanya moyo wangu ufifie, Mungu Mwenye Nguvu amenitia hofu.

Tazama sura Nakili

Biblia Habari Njema: Toleo la Kujifunza

16 Mungu ameufanya moyo wangu ufifie, Mungu Mwenye Nguvu amenitia hofu.

Tazama sura Nakili

Neno: Bibilia Takatifu

16 Mungu ameufanya moyo wangu kuzimia; yeye Mwenyezi amenitia hofu.

Tazama sura Nakili

Neno: Maandiko Matakatifu

16 Mungu ameufanya moyo wangu kuzimia; yeye Mwenyezi amenitia hofu.

Tazama sura Nakili




Yobu 23:16
11 Marejeleo ya Msalaba  

Nilikuwa katika raha, naye akanivunjavunja; Naam, amenishika shingo, na kuniponda; Tena amenisimamisha niwe shabaha yake.


Kwa hiyo naona taabu mbele ya uso wake; Nitakapofikiri, namwogopa.


Kama aishivyo Mungu, aliyeniondolea haki yangu; Huyo Mwenyezi aliyeitesa nafsi yangu;


Nimemwagika kama maji, Mifupa yangu yote imeteguka, Moyo wangu umekuwa kama nta, Na kuyeyuka ndani ya moyo wangu.


Hasira zako kali zimenizidia, Mapigo yako yatishayo yameniangamiza.


Kwa kuwa sitashindana na watu siku zote, wala sitakuwa na hasira siku zote; maana roho ingezimia mbele zangu, na hizo nafsi nilizozifanya.


Ndipo niliposema, Ole wangu! Kwa maana nimepotea; kwa sababu mimi ni mtu mwenye midomo michafu, nami ninakaa kati ya watu wenye midomo michafu; na macho yangu yamemwona Mfalme, BWANA wa majeshi.


Wala isizimie mioyo yenu, wala msiiogope habari itakayosikiwa katika nchi; maana habari itakuja mwaka mmoja, na baadaye mwaka wa pili habari itakuja, na udhalimu katika nchi, mwenye kutawala akishindana na mwenye kutawala.


Ole wake siku hii! Kwa maana siku ya BWANA inakaribia, nayo itakuja kama maangamizi yatokayo kwake aliye Mwenyezi.


awaambie, Sikilizeni, enyi Israeli, hivi leo mwasongea mapiganoni juu ya adui zenu mioyo yenu na isizime; msiche, wala msiteteme, wala msiingiwe na hofu kwa ajili ya wao;


Akawaambia, Msiniite Naomi, niiteni Mara kwa sababu Mwenyezi Mungu amenitenda mambo machungu sana.


Tufuate:

Matangazo


Matangazo