Biblia Todo Logo
Biblia ya mtandaoni
- Matangazo -




Yobu 15:9 - Swahili Revised Union Version

9 Je! Wewe wajua neno lipi, ambalo sisi hatulijui? Nawe wafahamu nini, ambalo halimo ndani yetu?

Tazama sura Nakili


Matoleo zaidi

Biblia Habari Njema

9 Unajua kitu gani tusichokijua sisi? Unafahamu kitu gani tusichokifahamu sisi?

Tazama sura Nakili

Biblia Habari Njema - BHND

9 Unajua kitu gani tusichokijua sisi? Unafahamu kitu gani tusichokifahamu sisi?

Tazama sura Nakili

Biblia Habari Njema: Toleo la Kujifunza

9 Unajua kitu gani tusichokijua sisi? Unafahamu kitu gani tusichokifahamu sisi?

Tazama sura Nakili

Neno: Bibilia Takatifu

9 Wewe unajua kitu gani tusichokijua sisi? Unafahamu kitu gani tusichokifahamu sisi?

Tazama sura Nakili

Neno: Maandiko Matakatifu

9 Wewe unajua kitu gani tusichokijua sisi? Unafahamu kitu gani tusichokifahamu sisi?

Tazama sura Nakili




Yobu 15:9
7 Marejeleo ya Msalaba  

Lakini mimi pia, nina fahamu kama ninyi; Mimi si duni kuliko ninyi; Naam, ni nani asiyejua mambo kama hayo?


Hayo myajuayo ninyi, na mimi pia nayajua; Mimi si duni kuliko ninyi.


Maana, ni nani aliyesimama katika baraza la BWANA, hata akalifahamu neno lake na kulisikia? Ni nani aliyelitia moyoni neno langu, na kulisikia?


Yaangalieni yaliyo mbele ya macho yenu. Mtu akijitumainia mwenyewe ya kuwa ni mtu wa Kristo, na afikiri hivi pia nafsini mwake, ya kwamba kama yeye alivyo mtu wa Kristo, vivyo hivyo ndivyo sisi nasi tulivyo.


Maana nadhani ya kuwa mimi sikupungukiwa na kitu walicho nacho mitume walio wakuu.


Tufuate:

Matangazo


Matangazo