Yeremia 7:17 - Swahili Revised Union Version17 Je! Huoni wanavyotenda katika miji ya Yuda, na katika njia kuu za Yerusalemu? Tazama suraMatoleo zaidiBiblia Habari Njema17 Je, wewe huoni mambo wanayofanya katika miji ya Yuda na katika mitaa ya Yerusalemu? Tazama suraBiblia Habari Njema - BHND17 Je, wewe huoni mambo wanayofanya katika miji ya Yuda na katika mitaa ya Yerusalemu? Tazama suraBiblia Habari Njema: Toleo la Kujifunza17 Je, wewe huoni mambo wanayofanya katika miji ya Yuda na katika mitaa ya Yerusalemu? Tazama suraNeno: Bibilia Takatifu17 Je, huyaoni hayo wanayoyatenda katika miji ya Yuda na katika barabara za Yerusalemu? Tazama suraNeno: Maandiko Matakatifu17 Je, huyaoni hayo wanayoyatenda katika miji ya Yuda na katika barabara za Yerusalemu? Tazama sura |
Lakini bila shaka tutalitimiza kila neno lililotoka katika vinywa vyetu, kumfukizia uvumba malkia wa mbinguni, na kummiminia sadaka za kinywaji, kama tulivyotenda sisi, na baba zetu, na wafalme wetu, na wakuu wetu, katika miji ya Yuda, na katika njia kuu za Yerusalemu; maana wakati huo tulikuwa na chakula tele, na kufanikiwa, wala hatukuona mabaya.