Biblia Todo Logo
Biblia ya mtandaoni
- Matangazo -




Yeremia 45:2 - Swahili Revised Union Version

2 BWANA, Mungu wa Israeli, akuambia wewe Ee Baruku;

Tazama sura Nakili


Matoleo zaidi

Biblia Habari Njema

2 “Mwenyezi-Mungu, Mungu wa Israeli, asema hivi juu yako wewe Baruku:

Tazama sura Nakili

Biblia Habari Njema - BHND

2 “Mwenyezi-Mungu, Mungu wa Israeli, asema hivi juu yako wewe Baruku:

Tazama sura Nakili

Biblia Habari Njema: Toleo la Kujifunza

2 “Mwenyezi-Mungu, Mungu wa Israeli, asema hivi juu yako wewe Baruku:

Tazama sura Nakili

Neno: Bibilia Takatifu

2 “Hili ndilo Mwenyezi Mungu, Mungu wa Israeli, akuambialo wewe Baruku:

Tazama sura Nakili

Neno: Maandiko Matakatifu

2 “Hili ndilo bwana, Mungu wa Israeli, akuambialo wewe Baruku:

Tazama sura Nakili




Yeremia 45:2
8 Marejeleo ya Msalaba  

Katika mateso yao yote yeye aliteswa, na malaika wa uso wake akawaokoa; kwa mapenzi yake, na huruma zake, aliwakomboa mwenyewe; akawainua, akawachukua siku zote za kale.


Neno hili ndilo ambalo Yeremia, nabii, alimwambia Baruku, mwana wa Neria, alipoyaandika maneno haya katika kitabu kwa kinywa cha Yeremia, mwaka wa nne wa Yehoyakimu, mwana wa Yosia, mfalme wa Yuda, kusema,


Ulisema, Ole wangu! Kwa maana BWANA ameongeza huzuni pamoja na maumivu yangu. Nimechoka kwa ajili ya kuugua kwangu, wala sioni raha.


Lakini nendeni zenu, mkawaambie wanafunzi wake, na Petro, ya kwamba awatangulia kwenda Galilaya; huko mtamwona, kama alivyowaambia.


atufarijiye katika dhiki zetu zote ili nasi tupate kuwafariji wale walio katika dhiki za namna zote, kwa faraja hizo, tunazofarijiwa na Mungu.


Lakini Mungu, mwenye kuwafariji wanyonge, alitufariji kwa kuja kwake Tito.


Na kwa kuwa mwenyewe aliteswa alipojaribiwa, aweza kuwasaidia wao wanaojaribiwa.


Kwa kuwa hamna kuhani mkuu asiyeweza kuchukuana nasi katika mambo yetu ya udhaifu; bali yeye alijaribiwa kama sisi katika mambo yote, bila kufanya dhambi.


Tufuate:

Matangazo


Matangazo