Biblia Todo Logo
Biblia ya mtandaoni

- Matangazo -




Yeremia 42:7 - Swahili Revised Union Version

7 Ikawa, baada ya siku kumi, neno la BWANA likamjia Yeremia.

Tazama sura Nakili


Matoleo zaidi

Biblia Habari Njema

7 Baada ya siku kumi, neno la Mwenyezi-Mungu lilimjia Yeremia.

Tazama sura Nakili

Biblia Habari Njema - BHND

7 Baada ya siku kumi, neno la Mwenyezi-Mungu lilimjia Yeremia.

Tazama sura Nakili

Biblia Habari Njema: Toleo la Kujifunza

7 Baada ya siku kumi, neno la Mwenyezi-Mungu lilimjia Yeremia.

Tazama sura Nakili

Neno: Bibilia Takatifu

7 Baada ya siku kumi, neno la Mwenyezi Mungu likamjia Yeremia.

Tazama sura Nakili

Neno: Maandiko Matakatifu

7 Baada ya siku kumi, neno la bwana likamjia Yeremia.

Tazama sura Nakili




Yeremia 42:7
7 Marejeleo ya Msalaba  

Umtumainie BWANA, uwe imara, Upige moyo konde, naam, umngoje BWANA.


kwa ajili ya hayo Bwana, MUNGU, asema hivi, Tazama, naweka jiwe katika Sayuni, liwe msingi, jiwe lililojaribiwa, jiwe la pembeni lenye thamani, msingi ulio imara; yeye aaminiye hatafanya haraka.


Kwa ajili ya hayo BWANA atangoja, ili awaonee huruma, na kwa ajili ya hayo atatukuzwa, ili awarehemu; kwa maana BWANA ni Mungu wa hukumu; heri wote wamngojao.


Neno hili ndilo lililomjia Yeremia, kutoka kwa BWANA, baada ya wakati ule Nebuzaradani, mkuu wa askari walinzi, alipomwacha aende zake toka Rama, baada ya kumchukua akiwa amefungwa minyororo, pamoja na wafungwa wote wa Yerusalemu na Yuda, waliochukuliwa wakiwa wamefungwa mpaka Babeli.


Ndipo akamwita Yohana, mwana wa Karea, na makamanda wote wa majeshi waliokuwa pamoja naye, na watu wote tangu wadogo hata wakubwa,


Hata ikawa, mwisho wa siku saba, neno la BWANA likanijia, kusema,


Maana njozi hii bado ni kwa wakati ulioamriwa, inafanya haraka ili kuufikia mwisho wake, wala haitasema uongo; ijapokawia, ingojee; kwa kuwa haina budi kuja, haitakawia.


Tufuate:

Matangazo


Matangazo