Biblia Todo Logo
Biblia ya mtandaoni

- Matangazo -




Waroma 11:10 - Swahili Revised Union Version

10 Macho yao yatiwe giza ili wasione, Ukawainamishe mgongo wao siku zote.

Tazama sura Nakili


Matoleo zaidi

Biblia Habari Njema

10 Macho yao yatiwe giza wasiweze kuona. Migongo yao ipindike kwa taabu daima!”

Tazama sura Nakili

Biblia Habari Njema - BHND

10 Macho yao yatiwe giza wasiweze kuona. Migongo yao ipindike kwa taabu daima!”

Tazama sura Nakili

Biblia Habari Njema: Toleo la Kujifunza

10 Macho yao yatiwe giza wasiweze kuona. Migongo yao ipindike kwa taabu daima!”

Tazama sura Nakili

Neno: Bibilia Takatifu

10 Macho yao yatiwe giza ili wasiweze kuona, nayo migongo yao iinamishwe daima.”

Tazama sura Nakili

Neno: Maandiko Matakatifu

10 Macho yao yatiwe giza ili wasiweze kuona, nayo migongo yao iinamishwe daima.”

Tazama sura Nakili




Waroma 11:10
13 Marejeleo ya Msalaba  

Meza yao mbele yao na iwe mtego; Naam, sikukuu zao sadaka ziwanase.


Macho yao yatiwe giza wasione, Na viuno vyao uvitetemeshe daima.


nami nitalitia mikononi mwao wakutesao; waliokuambia nafsi yako, Inama, tupate kupita; nawe uliufanya mgongo wako kuwa kama nchi, na kama njia, kwa hao wapitao juu yake.


mimi nitawaandikia kuuawa kwa upanga, na ninyi nyote mtainama ili kuchinjwa; kwa sababu nilipoita hamkuitika; niliponena, hamkusikia; bali mlitenda yaliyo mabaya machoni pangu, mlichagua mambo nisiyoyafurahia.


Ole wake mchungaji asiyefaa, aliachaye kundi! Upanga utakuwa juu ya mkono wake, na juu ya jicho lake la kulia; mkono wake utakuwa umekauka kabisa, na jicho lake la kulia litakuwa limepofuka.


kwa sababu, walipomjua Mungu hawakumtukuza kama ndiye Mungu wala kumshukuru; bali walipotea katika uzushi wao, na mioyo yao yenye ujinga ikatiwa giza.


Kama ilivyoandikwa, Mungu aliwapa roho ya usingizi, macho hata wasione, na masikio hata wasisikie, hata siku hii ya leo.


ambao; akili zao zimetiwa giza, nao wametengwa na uzima wa Mungu, kwa sababu ya ujinga uliomo ndani yao, kwa sababu ya ugumu wa mioyo yao;


Hawa ni visima visivyo na maji, na mawingu yachukuliwayo na tufani, ambao weusi wa giza ni akiba waliyowekewa.


Kwa maana ikiwa Mungu hakuwaachilia malaika waliokosa, bali aliwatupa shimoni, akawatia katika vifungo vya giza, walindwe hata ije hukumu;


ni mawimbi ya bahari yasiyozuilika, yakitoa aibu yao wenyewe kama povu; ni nyota zipoteazo, ambao weusi wa giza ndio akiba yao waliowekewa milele.


Na malaika wasioilinda enzi yao wenyewe, lakini wakayaacha makao yao yaliyowahusu, amewaweka katika vifungo vya milele chini ya giza kwa hukumu ya siku ile kuu.


Tufuate:

Matangazo


Matangazo