Walawi 25:13 - Swahili Revised Union Version13 Mwaka huo wa jubilii mtairudia kila mtu milki yake. Tazama suraMatoleo zaidiBiblia Habari Njema13 “Katika mwaka huo chochote ambacho kiliuzwa ni lazima kirudishwe kwa mwenyewe. Tazama suraBiblia Habari Njema - BHND13 “Katika mwaka huo chochote ambacho kiliuzwa ni lazima kirudishwe kwa mwenyewe. Tazama suraBiblia Habari Njema: Toleo la Kujifunza13 “Katika mwaka huo chochote ambacho kiliuzwa ni lazima kirudishwe kwa mwenyewe. Tazama suraNeno: Bibilia Takatifu13 “ ‘Katika huu Mwaka wa Yubile, kila mmoja atarudi kwenye mali yake mwenyewe. Tazama suraNeno: Maandiko Matakatifu13 “ ‘Katika huu Mwaka wa Yubile, kila mmoja atarudi kwenye mali yake mwenyewe. Tazama sura |