Biblia Todo Logo
Biblia ya mtandaoni

- Matangazo -




Waamuzi 9:40 - Swahili Revised Union Version

40 Lakini Abimeleki akamkimbiza, naye akakimbia mbele yake, wengi walijeruhiwa na kuanguka hadi kufikia maingilio ya lango la mji.

Tazama sura Nakili


Matoleo zaidi

Biblia Habari Njema

40 Gaali akashindwa na kukimbia, huku anafuatiwa na Abimeleki. Watu wengi walijeruhiwa na kuanguka njiani hadi kwenye lango la mji.

Tazama sura Nakili

Biblia Habari Njema - BHND

40 Gaali akashindwa na kukimbia, huku anafuatiwa na Abimeleki. Watu wengi walijeruhiwa na kuanguka njiani hadi kwenye lango la mji.

Tazama sura Nakili

Biblia Habari Njema: Toleo la Kujifunza

40 Gaali akashindwa na kukimbia, huku anafuatiwa na Abimeleki. Watu wengi walijeruhiwa na kuanguka njiani hadi kwenye lango la mji.

Tazama sura Nakili

Neno: Bibilia Takatifu

40 Abimeleki akamfukuza, naye akatoroka. Nao watu wengi wakaanguka njia yote hadi kwenye ingilio la lango, wakiwa wamejeruhiwa katika kule kutoroka.

Tazama sura Nakili

Neno: Maandiko Matakatifu

40 Abimeleki akamfukuza, watu wengi wakajeruhiwa katika kukimbia huko, njia nzima hadi kwenye ingilio la lango.

Tazama sura Nakili




Waamuzi 9:40
4 Marejeleo ya Msalaba  

Lakini waliosalia wakakimbia mpaka Afeki, mjini; na ukuta ukaanguka juu ya watu elfu ishirini na saba waliosalia. Ben-hadadi naye akakimbia, akaingia mjini, katika chumba cha ndani.


Basi Gaali akatokeza mbele ya watu wa Shekemu, akapigana na Abimeleki.


Abimeleki akakaa Aruma; naye Zebuli akawatoa Gaali na ndugu zake, wasikae katika Shekemu.


Tufuate:

Matangazo


Matangazo