Biblia Todo Logo
Biblia ya mtandaoni
- Matangazo -




Waamuzi 8:13 - Swahili Revised Union Version

13 Kisha huyo Gideoni mwana wa Yoashi akarudi kutoka vitani, kutoka kwenye makweleo ya Heresi.

Tazama sura Nakili


Matoleo zaidi

Biblia Habari Njema

13 Kisha, Gideoni, mwana wa Yoashi, akarudi kutoka vitani akipitia kwenye mteremko wa Heresi.

Tazama sura Nakili

Biblia Habari Njema - BHND

13 Kisha, Gideoni, mwana wa Yoashi, akarudi kutoka vitani akipitia kwenye mteremko wa Heresi.

Tazama sura Nakili

Biblia Habari Njema: Toleo la Kujifunza

13 Kisha, Gideoni, mwana wa Yoashi, akarudi kutoka vitani akipitia kwenye mteremko wa Heresi.

Tazama sura Nakili

Neno: Bibilia Takatifu

13 Gideoni mwana wa Yoashi akarudi kutoka vitani kupitia Mwinuko wa Heresi.

Tazama sura Nakili

Neno: Maandiko Matakatifu

13 Gideoni mwana wa Yoashi akarudi kutoka vitani kwa kupitia Mwinuko wa Heresi.

Tazama sura Nakili




Waamuzi 8:13
2 Marejeleo ya Msalaba  

Zeba na Salmuna walikimbia; naye akawaandamia; akawakamata hao wafalme wawili wa Midiani Zeba na Salmuna, akalitapanyatapanya hilo jeshi lote.


Ndipo akamshika kijana mmoja mwanamume katika watu wa Sukothi, akamwuliza; naye akamwandikia majina ya hao wakuu wa Sukothi, na wazee wa mji, watu sabini na saba.


Tufuate:

Matangazo


Matangazo