Waamuzi 5:13 - Swahili Revised Union Version13 Ndipo waliteremka mabaki ya waungwana na ya watu; BWANA alishuka kwa ajili yangu apigane na mashujaa. Tazama suraMatoleo zaidiBiblia Habari Njema13 Mashujaa waliobaki waliteremka, watu wa Mwenyezi-Mungu walikwenda kumpigania dhidi ya wenye nguvu. Tazama suraBiblia Habari Njema - BHND13 Mashujaa waliobaki waliteremka, watu wa Mwenyezi-Mungu walikwenda kumpigania dhidi ya wenye nguvu. Tazama suraBiblia Habari Njema: Toleo la Kujifunza13 Mashujaa waliobaki waliteremka, watu wa Mwenyezi-Mungu walikwenda kumpigania dhidi ya wenye nguvu. Tazama suraNeno: Bibilia Takatifu13 “Ndipo mabaki ya watu wakashuka dhidi ya wakuu, watu wa Mwenyezi Mungu wakashuka kwangu dhidi ya wenye nguvu. Tazama suraNeno: Maandiko Matakatifu13 “Ndipo mabaki ya watu wakashuka dhidi ya wenye nguvu, watu wa bwana, wakashuka dhidi ya mashujaa wenye nguvu. Tazama sura |