Waamuzi 3:14 - Swahili Revised Union Version14 Wana wa Israeli walimtumikia Egloni mfalme wa Moabu muda wa miaka kumi na minane. Tazama suraMatoleo zaidiBiblia Habari Njema14 Waisraeli wakamtumikia Egloni mfalme wa Moabu, kwa muda wa miaka kumi na minane. Tazama suraBiblia Habari Njema - BHND14 Waisraeli wakamtumikia Egloni mfalme wa Moabu, kwa muda wa miaka kumi na minane. Tazama suraBiblia Habari Njema: Toleo la Kujifunza14 Waisraeli wakamtumikia Egloni mfalme wa Moabu, kwa muda wa miaka kumi na minane. Tazama suraNeno: Bibilia Takatifu14 Waisraeli wakawa chini ya Egloni mfalme wa Moabu kwa muda wa miaka kumi na nane. Tazama suraNeno: Maandiko Matakatifu14 Waisraeli wakawa chini ya Egloni mfalme wa Moabu kwa muda wa miaka kumi na minane. Tazama sura |