Biblia Todo Logo
Biblia ya mtandaoni

- Matangazo -




Waamuzi 3:14 - Swahili Revised Union Version

14 Wana wa Israeli walimtumikia Egloni mfalme wa Moabu muda wa miaka kumi na minane.

Tazama sura Nakili


Matoleo zaidi

Biblia Habari Njema

14 Waisraeli wakamtumikia Egloni mfalme wa Moabu, kwa muda wa miaka kumi na minane.

Tazama sura Nakili

Biblia Habari Njema - BHND

14 Waisraeli wakamtumikia Egloni mfalme wa Moabu, kwa muda wa miaka kumi na minane.

Tazama sura Nakili

Biblia Habari Njema: Toleo la Kujifunza

14 Waisraeli wakamtumikia Egloni mfalme wa Moabu, kwa muda wa miaka kumi na minane.

Tazama sura Nakili

Neno: Bibilia Takatifu

14 Waisraeli wakawa chini ya Egloni mfalme wa Moabu kwa muda wa miaka kumi na nane.

Tazama sura Nakili

Neno: Maandiko Matakatifu

14 Waisraeli wakawa chini ya Egloni mfalme wa Moabu kwa muda wa miaka kumi na minane.

Tazama sura Nakili




Waamuzi 3:14
7 Marejeleo ya Msalaba  

Akawatia mikononi mwa mataifa, Nao waliowachukia wakawatawala.


Nami nitauelekeza uso wangu kinyume chenu, nanyi mtapigwa mbele ya adui zenu; hao wawachukiao watatawala juu yenu; nanyi mtakimbia wakati ambao hapana awafukuzaye.


Utakuwa na mizeituni katika mipaka yako yote usijipake mafuta yake; kwa kuwa mzeituni wako utapukutika.


Huyo Egloni akakutanisha kwake wana wa Amoni na Amaleki; akaenda na kuwapiga Israeli, nao wakauchukua huo mji wa mitende.


Lakini wana wa Israeli walipomlilia BWANA, BWANA akawainulia mwokozi, Ehudi, mwana wa Gera, Mbenyamini, mtu aliyekuwa mwenye shoto; nao wana wa Israeli walimpelekea Egloni mfalme wa Moabu tunu mkononi mwa huyo Ehudi.


Tufuate:

Matangazo


Matangazo