Biblia Todo Logo
Biblia ya mtandaoni

- Matangazo -




Waamuzi 21:16 - Swahili Revised Union Version

16 Ndipo hao wazee wa huo mkutano wakasema, Je! Tufanyeje ili tuwapatie wake hao waliosalia, kwa kuwa wanawake wameangamizwa katika Benyamini?

Tazama sura Nakili


Matoleo zaidi

Biblia Habari Njema

16 Kisha wazee wa jumuiya nzima wakasema, “Sasa tutafanya nini ili kuwapatia wanawake hao wanaume waliosalia kwa vile wanawake wote wa kabila la Benyamini waliangamia?

Tazama sura Nakili

Biblia Habari Njema - BHND

16 Kisha wazee wa jumuiya nzima wakasema, “Sasa tutafanya nini ili kuwapatia wanawake hao wanaume waliosalia kwa vile wanawake wote wa kabila la Benyamini waliangamia?

Tazama sura Nakili

Biblia Habari Njema: Toleo la Kujifunza

16 Kisha wazee wa jumuiya nzima wakasema, “Sasa tutafanya nini ili kuwapatia wanawake hao wanaume waliosalia kwa vile wanawake wote wa kabila la Benyamini waliangamia?

Tazama sura Nakili

Neno: Bibilia Takatifu

16 Viongozi wa kusanyiko wakasema, “Kwa kuwa wanawake wa Wabenyamini wameangamizwa, tufanyeje ili kuwapatia wake wale wanaume waliosalia?”

Tazama sura Nakili

Neno: Maandiko Matakatifu

16 Viongozi wa kusanyiko wakasema, “Kwa kuwa wanawake wa Wabenyamini wameangamizwa, tufanyeje ili kuwapatia wake wale wanaume waliosalia?

Tazama sura Nakili




Waamuzi 21:16
2 Marejeleo ya Msalaba  

Nao watu wakawahurumia Wabenyamini, kwa sababu BWANA alikuwa amefanya pengo katika hayo makabila ya Israeli.


Wakasema, Lazima uwepo urithi kwa hao wa Benyamini waliopona, lisije likafutika kabila Israeli.


Tufuate:

Matangazo


Matangazo