Waamuzi 1:34 - Swahili Revised Union Version34 Kisha Waamori waliwasukumiza wana wa Dani waende milimani; kwani hawakuwakubali kuteremkia bondeni; Tazama suraMatoleo zaidiBiblia Habari Njema34 Waamori waliwafukuzia watu wa kabila la Dani milimani. Hawakuwaruhusu kuja kuishi katika nchi tambarare. Tazama suraBiblia Habari Njema - BHND34 Waamori waliwafukuzia watu wa kabila la Dani milimani. Hawakuwaruhusu kuja kuishi katika nchi tambarare. Tazama suraBiblia Habari Njema: Toleo la Kujifunza34 Waamori waliwafukuzia watu wa kabila la Dani milimani. Hawakuwaruhusu kuja kuishi katika nchi tambarare. Tazama suraNeno: Bibilia Takatifu34 Waamori wakawazuilia Wadani kwenye nchi ya vilima, na hawakuwaacha washuke kuingia kwenye sehemu tambarare. Tazama suraNeno: Maandiko Matakatifu34 Waamori wakawazuilia Wadani kwenye nchi ya vilima, kwa maana hawakuwaacha washuke kuingia kwenye sehemu tambarare. Tazama sura |