Mwanzo 31:20 - Swahili Revised Union Version20 Yakobo akamhadaa Labani, Mshami, kwa kuwa hakumwambia ya kwamba anakimbia. Tazama suraMatoleo zaidiBiblia Habari Njema20 Yakobo alimdanganya Labani, Mwaramu, kwa kuondoka bila kumjulisha. Tazama suraBiblia Habari Njema - BHND20 Yakobo alimdanganya Labani, Mwaramu, kwa kuondoka bila kumjulisha. Tazama suraBiblia Habari Njema: Toleo la Kujifunza20 Yakobo alimdanganya Labani, Mwaramu, kwa kuondoka bila kumjulisha. Tazama suraNeno: Bibilia Takatifu20 Zaidi ya hayo, Yakobo alimdanganya Labani Mwaramu kwa kutokumwambia kwamba anakimbia. Tazama suraNeno: Maandiko Matakatifu20 Zaidi ya hayo, Yakobo alimdanganya Labani Mwaramu kwa kutokumwambia kwamba anakimbia. Tazama sura |