Matendo 25:18 - Swahili Revised Union Version18 Na wale waliomshitaki waliposimama hawakuleta neno lolote baya, kama nilivyodhani, Tazama suraMatoleo zaidiBiblia Habari Njema18 Washtaki wake walisimama lakini hawakutoa mashtaka maovu kama nilivyokuwa ninatazamia. Tazama suraBiblia Habari Njema - BHND18 Washtaki wake walisimama lakini hawakutoa mashtaka maovu kama nilivyokuwa ninatazamia. Tazama suraBiblia Habari Njema: Toleo la Kujifunza18 Washtaki wake walisimama lakini hawakutoa mashtaka maovu kama nilivyokuwa ninatazamia. Tazama suraNeno: Bibilia Takatifu18 Washtaki wake walipoinuka kuzungumza, hawakumshtaki kwa uhalifu wowote kama nilivyotarajia. Tazama suraNeno: Maandiko Matakatifu18 Washtaki wake waliposimama, hawakushtaki kwa uhalifu wowote niliokuwa ninatarajia. Tazama sura |