Biblia Todo Logo
Biblia ya mtandaoni

- Matangazo -




Isaya 37:15 - Swahili Revised Union Version

15 Hezekia akamwomba BWANA, akisema,

Tazama sura Nakili


Matoleo zaidi

Biblia Habari Njema

15 Halafu akamwomba Mwenyezi-Mungu akisema;

Tazama sura Nakili

Biblia Habari Njema - BHND

15 Halafu akamwomba Mwenyezi-Mungu akisema;

Tazama sura Nakili

Biblia Habari Njema: Toleo la Kujifunza

15 Halafu akamwomba Mwenyezi-Mungu akisema;

Tazama sura Nakili

Neno: Bibilia Takatifu

15 Naye Hezekia akamwomba Mwenyezi Mungu akisema:

Tazama sura Nakili

Neno: Maandiko Matakatifu

15 Naye Hezekia akamwomba bwana akisema:

Tazama sura Nakili




Isaya 37:15
11 Marejeleo ya Msalaba  

Lakini uyaelekee maombi ya mtumwa wako, na dua yake, Ee BWANA, Mungu wangu, uisikilize sauti na maombi ya mtumwa wako, aombayo mbele zako leo.


Naye Asa akamlilia BWANA, Mungu wake, akasema, BWANA, hapana kuliko wewe aliye wa kusaidia, kati yake yeye aliye hodari, na yeye asiye na nguvu; utusaidie, Ee BWANA, Mungu wetu; kwa kuwa sisi twakutegemea wewe, na kwa jina lako tumekuja juu ya jamii kubwa hii. Ee BWANA, wewe ndiwe Mungu wetu, asikushinde mwanadamu.


Basi Hezekia akaupokea waraka katika mikono ya wale wajumbe, akausoma; kisha Hezekia akapanda, akaingia katika nyumba ya BWANA, akaukunjua mbele za BWANA.


Ee BWANA wa majeshi, Mungu wa Israeli, ukaaye juu ya makerubi, wewe, naam, wewe peke yako, ndiwe Mungu wa falme zote za dunia. Wewe ndiwe uliyeziumba mbingu na nchi.


Kuna mtu miongoni mwenu anayeteseka? Na aombe. Ana moyo wa kuchangamka? Na aimbe zaburi.


Tufuate:

Matangazo


Matangazo