Isaya 37:15 - Swahili Revised Union Version15 Hezekia akamwomba BWANA, akisema, Tazama suraMatoleo zaidiBiblia Habari Njema15 Halafu akamwomba Mwenyezi-Mungu akisema; Tazama suraBiblia Habari Njema - BHND15 Halafu akamwomba Mwenyezi-Mungu akisema; Tazama suraBiblia Habari Njema: Toleo la Kujifunza15 Halafu akamwomba Mwenyezi-Mungu akisema; Tazama suraNeno: Bibilia Takatifu15 Naye Hezekia akamwomba Mwenyezi Mungu akisema: Tazama suraNeno: Maandiko Matakatifu15 Naye Hezekia akamwomba bwana akisema: Tazama sura |
Naye Asa akamlilia BWANA, Mungu wake, akasema, BWANA, hapana kuliko wewe aliye wa kusaidia, kati yake yeye aliye hodari, na yeye asiye na nguvu; utusaidie, Ee BWANA, Mungu wetu; kwa kuwa sisi twakutegemea wewe, na kwa jina lako tumekuja juu ya jamii kubwa hii. Ee BWANA, wewe ndiwe Mungu wetu, asikushinde mwanadamu.