Biblia Todo Logo
Biblia ya mtandaoni

- Matangazo -




Hesabu 25:17 - Swahili Revised Union Version

17 Wasumbue Wamidiani, na kuwapiga;

Tazama sura Nakili


Matoleo zaidi

Biblia Habari Njema

17 “Wachokoze Wamidiani na kuwaangamiza,

Tazama sura Nakili

Biblia Habari Njema - BHND

17 “Wachokoze Wamidiani na kuwaangamiza,

Tazama sura Nakili

Biblia Habari Njema: Toleo la Kujifunza

17 “Wachokoze Wamidiani na kuwaangamiza,

Tazama sura Nakili

Neno: Bibilia Takatifu

17 “Watendeeni Wamidiani kama adui na mwaue,

Tazama sura Nakili

Neno: Maandiko Matakatifu

17 “Watendeeni Wamidiani kama adui na mwaue,

Tazama sura Nakili




Hesabu 25:17
7 Marejeleo ya Msalaba  

Moabu akawaambia wazee wa Midiani, Sasa jeshi hili la watu litaramba vitu vyote vinavyotuzunguka, kama vile ng'ombe arambavyo majani ya mashamba. Na Balaki, mwana wa Sipori, alikuwa mfalme wa Moabu zamani zile.


Basi Israeli akakaa Shitimu, kisha watu wakaanza kuzini pamoja na wanawake wa Moabu;


Kisha BWANA akanena na Musa, na kumwambia,


kwa sababu wao wawasumbua ninyi kwa hila zao, ambazo kwa hizo wamewadanganya ninyi katika jambo la Peori, na katika jambo la huyo Kozbi, binti wa mkuu wa Midiani, dada yao, huyo aliyeuawa siku hiyo ya pigo katika jambo la Peori.


Mlipeni kama yeye alivyolipa, mkamlipe mara mbili kwa kadiri ya matendo yake. Katika kikombe kile alichokichanganyisha, mchanganyishieni mara mbili.


Kisha wana wa Israeli walifanya yaliyo maovu mbele za macho ya BWANA; BWANA akawatia mikononi mwa Midiani muda wa miaka saba


Tufuate:

Matangazo


Matangazo