Ezekieli 3:2 - Swahili Revised Union Version2 Basi nikafunua kinywa changu, naye akanilisha lile gombo. Tazama suraMatoleo zaidiBiblia Habari Njema2 Kwa hiyo nilifumbua kinywa changu, naye akanilisha hicho kitabu. Tazama suraBiblia Habari Njema - BHND2 Kwa hiyo nilifumbua kinywa changu, naye akanilisha hicho kitabu. Tazama suraBiblia Habari Njema: Toleo la Kujifunza2 Kwa hiyo nilifumbua kinywa changu, naye akanilisha hicho kitabu. Tazama suraNeno: Bibilia Takatifu2 Hivyo, nikafungua kinywa changu, naye akanipa kile kitabu nikile. Tazama suraNeno: Maandiko Matakatifu2 Ndipo nikafungua kinywa changu, naye akanilisha ule ukurasa wa kitabu. Tazama sura |