Ezekieli 19:9 - Swahili Revised Union Version9 Wakamtia katika tundu kwa kulabu, wakamleta kwa mfalme wa Babeli wakamtia ndani ya ngome, sauti yake isisikiwe tena juu ya milima ya Israeli. Tazama suraMatoleo zaidiBiblia Habari Njema9 Kwa ndoana wakamtia katika kizimba chao, wakampeleka kwa mfalme wa Babuloni. Huko, wakamtia gerezani, ili ngurumo yake isisikike tena juu ya milima ya Israeli. Tazama suraBiblia Habari Njema - BHND9 Kwa ndoana wakamtia katika kizimba chao, wakampeleka kwa mfalme wa Babuloni. Huko, wakamtia gerezani, ili ngurumo yake isisikike tena juu ya milima ya Israeli. Tazama suraBiblia Habari Njema: Toleo la Kujifunza9 Kwa ndoana wakamtia katika kizimba chao, wakampeleka kwa mfalme wa Babuloni. Huko, wakamtia gerezani, ili ngurumo yake isisikike tena juu ya milima ya Israeli. Tazama suraNeno: Bibilia Takatifu9 Wakamvutia kwenye tundu kwa kutumia ndoana, wakamleta kwa mfalme wa Babeli. Wakamfunga gerezani, hivyo kunguruma kwake hakukusikika tena katika milima ya Israeli. Tazama suraNeno: Maandiko Matakatifu9 Kwa kutumia ndoana wakamvutia kwenye tundu na kumleta mpaka kwa mfalme wa Babeli. Wakamtia gerezani, hivyo kunguruma kwake hakukusikika tena katika milima ya Israeli. Tazama sura |