Ezekieli 19:6 - Swahili Revised Union Version6 Naye akaenda huku na huko kati ya simba, akawa mwanasimba, akajifunza kuwinda mawindo, akala watu. Tazama suraMatoleo zaidiBiblia Habari Njema6 Huyo alipokuwa amekua, akaanza kuzurura na simba wengine. Naye pia akajifunza kuwinda, akawa simba mla watu. Tazama suraBiblia Habari Njema - BHND6 Huyo alipokuwa amekua, akaanza kuzurura na simba wengine. Naye pia akajifunza kuwinda, akawa simba mla watu. Tazama suraBiblia Habari Njema: Toleo la Kujifunza6 Huyo alipokuwa amekua, akaanza kuzurura na simba wengine. Naye pia akajifunza kuwinda, akawa simba mla watu. Tazama suraNeno: Bibilia Takatifu6 Alizungukazunguka miongoni mwa simba, kwa kuwa sasa alikuwa simba mwenye nguvu. Akajifunza kurarua mawindo naye akala watu. Tazama suraNeno: Maandiko Matakatifu6 Alizungukazunguka miongoni mwa simba, kwa kuwa sasa alikuwa simba mwenye nguvu. Akajifunza kurarua mawindo naye akala watu. Tazama sura |