Biblia Todo Logo
Biblia ya mtandaoni

- Matangazo -




2 Wafalme 21:26 - Swahili Revised Union Version

26 Akazikwa kaburini mwake katika bustani ya Uza. Na Yosia mwanawe akatawala mahali pake.

Tazama sura Nakili


Matoleo zaidi

Biblia Habari Njema

26 Amoni alizikwa kaburini katika bustani ya Uza; na Yosia mwanawe akatawala mahali pake.

Tazama sura Nakili

Biblia Habari Njema - BHND

26 Amoni alizikwa kaburini katika bustani ya Uza; na Yosia mwanawe akatawala mahali pake.

Tazama sura Nakili

Biblia Habari Njema: Toleo la Kujifunza

26 Amoni alizikwa kaburini katika bustani ya Uza; na Yosia mwanawe akatawala mahali pake.

Tazama sura Nakili

Neno: Bibilia Takatifu

26 Akazikwa kwenye kaburi lake katika bustani ya Uza. Naye Yosia mwanawe akawa mfalme baada yake.

Tazama sura Nakili

Neno: Maandiko Matakatifu

26 Akazikwa kwenye kaburi lake katika bustani ya Uza. Naye Yosia mwanawe akawa mfalme baada yake.

Tazama sura Nakili




2 Wafalme 21:26
7 Marejeleo ya Msalaba  

Madhabahu ikapasuka, majivu ya madhabahuni yakamwagika, sawasawa na ishara aliyoitoa mtu wa Mungu kwa neno la BWANA.


Manase akalala na babaze, akazikwa katika bustani ya nyumba yake mwenyewe, yaani, bustani ya Uza. Na Amoni mwanawe akatawala mahali pake.


Basi mambo yote ya Amoni yaliyosalia, aliyoyafanya, je! Hayakuandikwa katika Kitabu cha Kumbukumbu za Wafalme wa Yuda?


Yosia alikuwa na umri wa miaka minane alipoanza kutawala; akatawala miaka thelathini na mmoja katika Yerusalemu; na jina la mama yake aliitwa Yedida, binti Adaya wa Bozkathi.


na mwanawe huyo ni Amoni; na mwanawe huyo ni Yosia.


Neno la BWANA lililomjia Sefania, mwana wa Kushi, mwana wa Gedalia, mwana wa Amaria, mwana wa Hezekia; katika siku za Yosia, mwana wa Amoni, mfalme wa Yuda.


Hezekia akamzaa Manase; Manase akamzaa Amoni; Amoni akamzaa Yosia;


Tufuate:

Matangazo


Matangazo