2 Wafalme 10:35 - Swahili Revised Union Version35 Yehu akalala na babaze; wakamzika katika Samaria. Na Yehoahazi mwanawe akatawala mahali pake. Tazama suraMatoleo zaidiBiblia Habari Njema35 Akafariki na kuzikwa Samaria. Mwanae Yehoahazi akatawala mahali pake. Tazama suraBiblia Habari Njema - BHND35 Akafariki na kuzikwa Samaria. Mwanae Yehoahazi akatawala mahali pake. Tazama suraBiblia Habari Njema: Toleo la Kujifunza35 Akafariki na kuzikwa Samaria. Mwanae Yehoahazi akatawala mahali pake. Tazama suraNeno: Bibilia Takatifu35 Yehu akalala na baba zake, akazikwa huko Samaria. Naye Yehoahazi mwanawe akawa mfalme baada yake. Tazama suraNeno: Maandiko Matakatifu35 Yehu akalala pamoja na baba zake, naye akazikwa huko Samaria. Naye Yehoahazi mwanawe akawa mfalme baada yake. Tazama sura |