Biblia Todo Logo
Biblia ya mtandaoni

- Matangazo -




1 Wafalme 22:33 - Swahili Revised Union Version

33 Ikawa, wakuu wa magari walipoona ya kuwa siye mfalme wa Israeli, wakageuka nyuma wasimfuate.

Tazama sura Nakili


Matoleo zaidi

Biblia Habari Njema

33 Makapteni walipotambua kwamba hakuwa mfalme wa Israeli waliacha kumshambulia, wakarudi.

Tazama sura Nakili

Biblia Habari Njema - BHND

33 Makapteni walipotambua kwamba hakuwa mfalme wa Israeli waliacha kumshambulia, wakarudi.

Tazama sura Nakili

Biblia Habari Njema: Toleo la Kujifunza

33 Makapteni walipotambua kwamba hakuwa mfalme wa Israeli waliacha kumshambulia, wakarudi.

Tazama sura Nakili

Neno: Bibilia Takatifu

33 wale majemadari wakaona kwamba hakuwa mfalme wa Israeli, wakaacha kumfuatilia.

Tazama sura Nakili

Neno: Maandiko Matakatifu

33 wale majemadari wakaona kwamba hakuwa mfalme wa Israeli, nao wakaacha kumfuatilia.

Tazama sura Nakili




1 Wafalme 22:33
5 Marejeleo ya Msalaba  

Basi mfalme wa Shamu alikuwa amewaamuru wakuu wa magari yake thelathini na wawili, akisema, Msipigane na mdogo wala mkuu, ila na mfalme wa Israeli peke yake.


Ikawa wakuu wa magari walipomwona Yehoshafati, wakasema, Huyo ndiye mfalme wa Israeli Wakageuka juu yake ili wapigane naye; naye Yehoshafati akapiga kelele.


Mtu mmoja akavuta upinde kwa kubahatisha, akampiga mfalme wa Israeli mahali pa kuungana mavazi yake ya chuma; kwa hiyo akamwambia mwendesha gari lake, Geuza mkono wako, unichukue kutoka katika majeshi; kwa kuwa nimejeruhiwa sana.


Ikawa, makamanda wa magari walipoona ya kuwa siye mfalme wa Israeli, wakageuka nyuma wasimfuate.


Maana hasira ya binadamu itakusifu, Masalio ya hasira utajifunga kama mshipi.


Tufuate:

Matangazo


Matangazo