Zekaria 6:14 - Swahili Revised Union Version - SRUVDC14 Na hayo mataji yatakuwa ya Heldai, na Tobia, na Yedaya; na kwa fadhili za mwana wa Sefania; yawe kumbukumbu katika hekalu la BWANA. Tazama suraMatoleo zaidiBiblia Habari Njema14 Taji hilo itahifadhiwa katika hekalu langu kwa heshima ya Heldai, Tobia, Yedaya na Yosia mwana wa Sefania.’ Tazama suraBiblia Habari Njema - BHND14 Taji hilo itahifadhiwa katika hekalu langu kwa heshima ya Heldai, Tobia, Yedaya na Yosia mwana wa Sefania.’ Tazama suraBiblia Habari Njema: Toleo la Kujifunza14 Taji hilo itahifadhiwa katika hekalu langu kwa heshima ya Heldai, Tobia, Yedaya na Yosia mwana wa Sefania.’ Tazama suraNeno: Bibilia Takatifu14 Taji litatolewa kwa Heldai, Tobia, Yedaya na Heni mwana wa Sefania kama kumbukumbu ndani ya Hekalu la Mwenyezi Mungu. Tazama suraNeno: Maandiko Matakatifu14 Taji itatolewa kwa Heldai, Tobia, Yedaya na Heni mwana wa Sefania kama kumbukumbu ndani ya Hekalu la bwana. Tazama sura |