Zekaria 14:20 - Swahili Revised Union Version - SRUVDC20 Siku hiyo katika njuga za farasi yataandikwa maneno haya, WATAKATIFU KWA BWANA; navyo vyombo vilivyomo ndani ya nyumba ya BWANA vitakuwa kama mabakuli yaliyoko mbele ya madhabahu. Tazama suraMatoleo zaidiBiblia Habari Njema20 Wakati huo, kwenye njuga za farasi yataandikwa maandishi haya: “Wakfu kwa Mwenyezi-Mungu Vyungu vilivyomo katika hekalu la Mwenyezi-Mungu vitakuwa kama mabakuli yaliyoko mbele ya madhabahu. Tazama suraBiblia Habari Njema - BHND20 Wakati huo, kwenye njuga za farasi yataandikwa maandishi haya: “Wakfu kwa Mwenyezi-Mungu Vyungu vilivyomo katika hekalu la Mwenyezi-Mungu vitakuwa kama mabakuli yaliyoko mbele ya madhabahu. Tazama suraBiblia Habari Njema: Toleo la Kujifunza20 Wakati huo, kwenye njuga za farasi yataandikwa maandishi haya: “Wakfu kwa Mwenyezi-Mungu.” Vyungu vilivyomo katika hekalu la Mwenyezi-Mungu vitakuwa kama mabakuli yaliyoko mbele ya madhabahu. Tazama suraNeno: Bibilia Takatifu20 Katika siku hiyo, kengele zilizofungwa kwenye farasi zitaandikwa maneno haya: “Takatifu kwa Mwenyezi Mungu”. Navyo vyungu vya kupikia katika nyumba ya Mwenyezi Mungu vitakuwa kama bakuli takatifu mbele ya madhabahu. Tazama suraNeno: Maandiko Matakatifu20 Katika siku hiyo, kengele zilizofungwa kwenye farasi zitaandikwa maneno haya: takatifu kwa bwana, navyo vyungu vya kupikia katika nyumba ya bwana vitakuwa kama bakuli takatifu mbele ya madhabahu. Tazama sura |