Zekaria 14:17 - Swahili Revised Union Version - SRUVDC17 Tena itakuwa, ya kwamba mtu awaye yote wa jamaa zote zilizomo duniani, asiyekwea kwenda Yerusalemu ili kumwabudu Mfalme, BWANA wa majeshi, mvua haitanyesha kwao. Tazama suraMatoleo zaidiBiblia Habari Njema17 Iwapo taifa lolote duniani halitakwenda Yerusalemu kumwabudu Mwenyezi-Mungu wa majeshi aliye mfalme, basi, mvua haitanyesha katika nchi yao. Tazama suraBiblia Habari Njema - BHND17 Iwapo taifa lolote duniani halitakwenda Yerusalemu kumwabudu Mwenyezi-Mungu wa majeshi aliye mfalme, basi, mvua haitanyesha katika nchi yao. Tazama suraBiblia Habari Njema: Toleo la Kujifunza17 Iwapo taifa lolote duniani halitakwenda Yerusalemu kumwabudu Mwenyezi-Mungu wa majeshi aliye mfalme, basi, mvua haitanyesha katika nchi yao. Tazama suraNeno: Bibilia Takatifu17 Ikiwa taifa lolote la dunia hawataenda Yerusalemu kumwabudu Mfalme, Mwenyezi Mungu, Mungu wa majeshi ya mbinguni, mvua haitanyesha kwao. Tazama suraNeno: Maandiko Matakatifu17 Ikiwa taifa lolote la dunia hawatakwenda Yerusalemu kumwabudu Mfalme, bwana Mwenye Nguvu Zote, mvua haitanyesha kwao. Tazama sura |