Biblia Todo Logo
Biblia ya mtandaoni

- Matangazo -




Zekaria 12:14 - Swahili Revised Union Version - SRUVDC

14 Jamaa zote zilizosalia, kila jamaa peke yake, na wake zao peke yao.

Tazama sura Nakili


Matoleo zaidi

Biblia Habari Njema

14 Jamaa zote zilizosalia zitaomboleza; wanaume peke yao na wanawake peke yao.

Tazama sura Nakili

Biblia Habari Njema - BHND

14 Jamaa zote zilizosalia zitaomboleza; wanaume peke yao na wanawake peke yao.

Tazama sura Nakili

Biblia Habari Njema: Toleo la Kujifunza

14 Jamaa zote zilizosalia zitaomboleza; wanaume peke yao na wanawake peke yao.

Tazama sura Nakili

Neno: Bibilia Takatifu

14 na koo zote zilizobaki na wake zao.

Tazama sura Nakili

Neno: Maandiko Matakatifu

14 na koo zote zilizobaki na wake zao.

Tazama sura Nakili




Zekaria 12:14
4 Marejeleo ya Msalaba  

Kama una hekima, una hekima kwa nafsi yako; Na kama una dharau, utaichukua peke yako.


Lakini watakaokimbia watakimbia, nao watakuwa juu ya milima kama hua wa bondeni, wote wakilia, kila mmoja katika uovu wake.


jamaa ya nyumba ya Lawi peke yao, na wake zao peke yao; jamaa ya nyumba ya Shimei peke yao, na wake zao peke yao.


Katika siku hiyo watu wa nyumba ya Daudi, na wenyeji wa Yerusalemu, watafunguliwa chemchemi ya kuwatakasa kutoka kwa dhambi na kwa unajisi.


Tufuate:

Matangazo


Matangazo