Biblia Todo Logo
Biblia ya mtandaoni

- Matangazo -




Zaburi 92:6 - Swahili Revised Union Version - SRUVDC

6 Mtu mjinga hayatambui hayo, Wala mpumbavu hayafahamu.

Tazama sura Nakili


Matoleo zaidi

Biblia Habari Njema

6 Mtu mpumbavu hawezi kufahamu, wala mjinga hajui jambo hili:

Tazama sura Nakili

Biblia Habari Njema - BHND

6 Mtu mpumbavu hawezi kufahamu, wala mjinga hajui jambo hili:

Tazama sura Nakili

Biblia Habari Njema: Toleo la Kujifunza

6 Mtu mpumbavu hawezi kufahamu, wala mjinga hajui jambo hili:

Tazama sura Nakili

Neno: Bibilia Takatifu

6 Mjinga hafahamu, mpumbavu haelewi,

Tazama sura Nakili

Neno: Maandiko Matakatifu

6 Mjinga hafahamu, mpumbavu haelewi,

Tazama sura Nakili




Zaburi 92:6
18 Marejeleo ya Msalaba  

Ee BWANA, jinsi yalivyo mengi matendo yako! Kwa hekima umevifanya vyote pia. Dunia imejaa viumbe wako.


Nitakushukuru kwa kuwa nimeumbwa Kwa njia ya ajabu ya kutisha. Matendo yako ni ya ajabu, Na nafsi yangu yajua sana,


Mpumbavu husema moyoni, Hakuna Mungu; Wameharibu matendo yao na kuyafanya chukizo, Hakuna atendaye mema.


Msiwe kama farasi wala nyumbu, Wasiokuwa na akili. Kwa matandiko ya lijamu na hatamu Sharti kuwazuia hao, au hawatakukaribia.


Naam, ataliona, hata wenye hekima hufa; Mpumbavu na mjinga hupotea pamoja, Na kuwaachia wengine mali zao.


Nilikuwa kama mjinga, sijui neno; Nilikuwa kama mnyama tu mbele zako.


Niliwaambia waliojivuna, Msijivune; Na wasio haki, Msiiinue pembe.


Enyi wajinga miongoni mwa watu, fikirini; Enyi wapumbavu, lini mtakapopata akili?


Enyi wajinga, hata lini mtapenda ujinga? Na wenye dharau kupenda dharau yao, Na wapumbavu kuchukia maarifa?


Kwa mpumbavu hekima haipatikani; Hafumbui kinywa chake langoni.


Hakika nimekuwa kama mnyama, wala si mtu; Wala sina ufahamu wa mwanadamu;


Ng'ombe amjua bwana wake, Na punda ajua kibanda cha bwana wake; Bali Israeli hajui, watu wangu hawafikiri.


Hayo nayo yatoka kwa BWANA wa majeshi, mwenye shauri la ajabu, apitaye wote kwa hekima yake.


Kwa maana kama vile mbingu zilivyo juu sana kuliko nchi, ndivyo njia zangu zilivyo juu sana kuliko njia zenu, na mawazo yangu kuliko mawazo yenu.


Kila mtu amekuwa kama mnyama, hana maarifa; Kila mfua dhahabu amefedheheshwa na sanamu yake ya kuchonga; Maana sanamu yake ya kuyeyuka ni uongo, Wala hamna pumzi ndani yake.


mkuu wa mashauri, muweza katika kutenda; ambaye macho yake yamefumbuka juu ya njia zote za wanadamu, kumpa kila mtu kwa kadiri ya njia zake, na kwa kadiri ya matunda ya matendo yake,


Lakini Mungu akamwambia, Mpumbavu wewe, usiku huu wa leo wanataka roho yako! Na vitu ulivyojiwekea tayari vitakuwa vya nani?


Basi mwanadamu wa tabia ya asili hayapokei mambo ya Roho wa Mungu; maana kwake huyo ni upuzi, wala hawezi kuyafahamu, kwa kuwa yatambulikana kwa jinsi ya rohoni.


Tufuate:

Matangazo


Matangazo