Biblia Todo Logo
Biblia ya mtandaoni

- Matangazo -




Zaburi 92:15 - Swahili Revised Union Version - SRUVDC

15 Watangaze ya kuwa BWANA ni mwenye adili, Mwamba wangu, ndani yake hamna udhalimu.

Tazama sura Nakili


Matoleo zaidi

Biblia Habari Njema

15 wapate kutangaza kwamba Mwenyezi-Mungu ni mnyofu, Mwamba wangu, kwake hamna upotovu.

Tazama sura Nakili

Biblia Habari Njema - BHND

15 wapate kutangaza kwamba Mwenyezi-Mungu ni mnyofu, Mwamba wangu, kwake hamna upotovu.

Tazama sura Nakili

Biblia Habari Njema: Toleo la Kujifunza

15 wapate kutangaza kwamba Mwenyezi-Mungu ni mnyofu, Mwamba wangu, kwake hamna upotovu.

Tazama sura Nakili

Neno: Bibilia Takatifu

15 wakitangaza, “Mwenyezi Mungu ni mkamilifu; yeye ni Mwamba wangu, na ndani yake hamna uovu.”

Tazama sura Nakili

Neno: Maandiko Matakatifu

15 wakitangaza, “bwana ni mkamilifu; yeye ni Mwamba wangu, na ndani yake hamna uovu.”

Tazama sura Nakili




Zaburi 92:15
17 Marejeleo ya Msalaba  

Kwa hiyo nisikilizeni, enyi wenye fahamu; Mungu asidhaniwe kutenda udhalimu; Wala Mwenyezi kufanya uovu.


Naye atakuwa kama mti uliopandwa Kandokando ya vijito vya maji, Uzaao matunda yake kwa majira yake, Wala jani lake halinyauki; Na kila alitendalo litafanikiwa.


BWANA ni mwenye haki katika njia zake zote, Na mwenye huruma katika matendo yake yote.


BWANA ni jabali langu, na boma langu, na mwokozi wangu, Mungu wangu, mwamba wangu ninayemkimbilia, Ngao yangu, na pembe ya wokovu wangu, na ngome yangu.


Yeye tu ndiye mwamba wangu na wokovu wangu, Ngome yangu, sitatikisika.


Kumcha BWANA kwaongeza siku za mtu; Bali miaka yao wasio haki itapunguzwa.


BWANA kati yake ni mwenye haki; hatatenda uovu; kila asubuhi hudhihirisha hukumu yake, wala hakomi; bali mtu asiye haki hajui kuona haya.


Tuseme nini basi? Kuna udhalimu kwa Mungu? La hasha!


Yeye Mwamba, kazi yake ni kamilifu; Maana, njia zake zote ni haki. Mungu wa uaminifu, asiye na uovu, Yeye ndiye mwenye haki na adili.


Musa alikuwa mtu wa miaka mia moja na ishirini alipokufa; jicho lake halikupofuka, wala nguvu za mwili wake hazikupunguka.


katika tumaini la uzima wa milele, ambao Mungu asiyeweza kusema uongo aliuahidi tangu milele;


Tufuate:

Matangazo


Matangazo