Zaburi 92:14 - Swahili Revised Union Version - SRUVDC14 Watazaa matunda hadi wakati wa uzee, Watajaa utomvu, watakuwa na ubichi. Tazama suraMatoleo zaidiBiblia Habari Njema14 huendelea kuzaa matunda hata uzeeni; daima wamejaa utomvu na wabichi; Tazama suraBiblia Habari Njema - BHND14 huendelea kuzaa matunda hata uzeeni; daima wamejaa utomvu na wabichi; Tazama suraBiblia Habari Njema: Toleo la Kujifunza14 huendelea kuzaa matunda hata uzeeni; daima wamejaa utomvu na wabichi; Tazama suraNeno: Bibilia Takatifu14 Wakati wa uzee watakuwa bado wanazaa matunda, watakuwa wabichi tena wamejaa nguvu, Tazama suraNeno: Maandiko Matakatifu14 Wakati wa uzee watakuwa bado wanazaa matunda, watakuwa wabichi tena wamejaa nguvu, Tazama sura |
Na karibu na mto, juu ya ukingo wake, upande huu na upande huu, utamea kila mti wa chakula, ambao majani yake hayatanyauka, wala matunda yake hayataisha kamwe; utatoa matunda mapya kila mwezi, kwa sababu maji yake yanatoka mahali patakatifu; na matunda yake yatakuwa ni chakula; na majani yake yatakuwa ni dawa.